Ijumaa, 5 Septemba 2014

Gardner G Habash Azungumzia Tetesi za Kuachana na Lady Jay Dee


Gardner G Habash Azungumzia Tetesi za Kuachana na Lady Jay Dee na Chanzo Chake, 'Hatuna Tatizo'Gardner G Habash Azungumzia Tetesi za Kuachana na Lady Jay Dee na Chanzo Chake, 'Hatuna Tatizo'
Gardner G Habash amekanusha taarifa zilizokuwa zimesambazwa kwenye mitandao kuwa yeye na mkewe Lady Jay Dee wako kwenye wakati mgumu wa ndoa yao. Akizungumza katika Exclusive Friday ya 100.5 Times Fm, Gardner ameeleza kuwa hizo ni taarifa zisizo za …