Jumatatu, 11 Novemba 2013
BURUNDI. Bobona yateramishije abanyabujumbura n’ibiteramo bibiri Yanditswe taliki ya 11-11-2013
Umuririmvyi Bobona yaraye arangije urukurikirane rw’ibiteramo 2 vyo kumenyekanisha “IKIRANGAMISI”, urukurikirane rw’indirimbo yasohoye mu 2012. Ku mugoroba w’uwa gatanu Bobona yakoze igiteramo ca mbere mu kigo c’abafaransa. Ku w’Imana akomeza kuryohera abanyabujumbura mu giteramo ca kabiri mu kigo c’urwaruka co mu Kamenge.
- Bobona mu giteramo co kuri IFB
- Bobona n’umurwi ABAHIGI kuri IFB
- Chance na Bobona bariko baririmba indirimbo"Gaterantimba"
- Willy na Chance
BURUNDI Icuka casubiriye kuba kibi hagati ya Big Fizzo na Lolilo
Bigg fizzo na Lolilo bose ni abaririmvyi b’abarundi , abo si ubwa mbere bagiriranira ibibazo kubera indirimbo, umwe yagiriza uwundi ko yamwiganye canke yamutwaye indirimbo ivyo muravyibuka ku ndirimbo yitwa baza Fizzo yaririmbanye n’umuririmvyi wo mu Rwanda Tom Close aho Lolilo yavuga ko Fizzo yiganye indirimbo yiwe.
Ivyo vyateye ukutumvikana hagati yaba babiri hanyuma barabiganira birahera babana amahoro.
Iyi ndirimbo ya L olilo yayiririmbanye na Black.G, Lolilo avugako iyi yatanguye kuyikora imbere yuko “nakulove “ ya Fizzo isohoka kuko avuga ko yashatse kuyiririmbana na Fizzo bihinduka gatoyi hanyuma ayiririmbana na Black.G.
Naho Fizzo wewe avuga ko ivyo atavyo azi kiretse ko azi ko mu gihe yaza mu Burundi Lolilo yamusavye ko baririmbana indirimbo ariko iyo ngo yashaka ko bayandikira mu ruhinyanyuriro hama Fizzo avuga ko bitoba bisiguritse ngo bazoyitondera.
Iyo uravye neza nuko izi ndirimbo uko ari zibiri mukuzikora bagendeye ku ndirimo ya ba P- square yitwa “shop my money” kubwa Fizzo avuga ko uretse ko umudiho wa zouk udahinduka ariko ko bidasa ikindi avuga ko naho vyoba bisa Lolilo atobigira urwitwazo rwo gukora indirimbo ishaka gusa nkiyo.
Ubu ikigiye gukorwa ni kwegera abahinyanyuzi bakavuga uwuvugisha ukuri muri aba , hama tukazana n’indirimbo mukazumviriza namwe mukavuga uko muvyumva, ivyo tuzobigarukako mu nkuru ikurikira iyi.
UGANDA. Goodlyfe and Iryn Namubiru Entertain Golola Fans
|
RWANDA. Byari bishyushye mu gitaramo cya gahunda ya WDA yo guha amahirwe abana bafite impano - AMAFOTO
Ikigo cy’igihugu gishinzwe guteza imbere imyuga n’ubumenyi ngiro(WDA) cyatangije igikorwa cyo kuzenguraka igihugu cyose bashaka abana bafite impano zitandukanye mu muziki bifuza kuzatangirana n’ishuri ry’igisha ibya muzika rigiye gutangirana n’umwaka wa mashuri wa 2014.
Iyi gahunda kandi ikaba irimo igendera hamwe na gahunda yo gukangurira urubyiruko akamaro ka mashuri y’imyuga n’ubumenyi ngiro aho hari itsinda ry’abahanzi b’ibyamamare mu muziki nyarwanda bazakomeza kugenda bataramira abantu banakangurira by’umwihariko urubyiruko kwitabira aya mashuri.

Hari hateraniye imbaga y'abantu benshi cyane
Izi gahunda zikaba zabimburiwe mu karere ka Karongi, Kuri uyu wa Gatandatu tariki ya 09/11/2013 ahitwa i Rubengera mu kibuga cy’umupira w’amaguru gisanzwe kinaberamo ibitaramo by’irushanwa rya PGGSS, ahabereye igitaramo gikomeye cy’itsinda ry’abahanzi barimo Jay Polly, Riderman, Knowless, Tom Close hamwe n’itsinda rya Dream boys.

Dream Boys bashimishije abantu
Aba bahanzi bose uretse kuba mu ndirimbo zabo zikunzwe cyane bashimishje abakunzi babo bagiye banafata umwanya bagakangurira urubyiruko n’ababyeyi babo akamaro ko kugana no kwiga amashuri y’imyuga n’ubumenyi ngiro.

Tom Close imbere y’abafana be yagize ati “ Uku mumbona hano ntabwo bigeze bampamagara nka dogiteri ahubwo naje hano nk’umuhanzi kubera ko ari wo mwuga nabashije kwitaho none birantunze rero namwe twaje kubashishikariza kumenya akamaro ko kwiga imyuga.”

Knowless we yagize ati “ Njyewe umwuga wanjye ni ubuhanzi kandi birantunze, iyo wize umwuga ukawuha agaciro byanze bikunze witeza imbere ndetse ugafasha na rubanda n’igihugu muri rusange. Umuntu ashobora kwiga gusuka imisatsi no kugosha n’ibindi n’ibindi imyuga ni myinshi kandi hari ishuri rihari kugirango riyigishe neza.”

Riderman nawe yasusurukije abantu anatanga ubutumwa bwo gushyira ingufu mu myuga
Muri aka karere hakaba hiyandikishije abana bagera kuri 25 biyumvamo impano yo gukora umuziki gusa bika biteganijwe ko hazatoranywamo abagera ku munani bigaragaje cyane nk’uko Might Popo urimo gukurikiranira hafi iki gikorwa ndetse ari nawe uzaba ari umuyobozi mukuru w’iri shuri yabidutangarije.

Igikorwa cyo gutoranya abana bafite impano cyakoranwaga ubushishozi
Ati “ I Karongi abana bagerageje kubyitabira ndetse natunguwe cyane n’ubuhanga bwabo. Gusa duteganya gufata umunani ariko bikazaterwa ni uko mu tundi turere bizaba byagenze bashobora no kwiyongera cyangwa bakagabanuka.”

Jay Pooly yari yishimiwe cyane na benshi
Tubibutse iri shuri ry’umuziki rizakira abana basanzwe barize byibura amashuri 9 y’ibanze kuzamura rikazatangira muri Mutarama 2014 i Nyundo mu karere ka Rubavu naho igikorwa cyo gutoranya abana bifuza kuziga muri iri shuri kikazakomeza kuwa Gatandatu utaha mu karere ka Rusizi ndetse n’utundi turere tukazakomeza kugenda tugerwaho n’izi gahunda.

Aha abahanzi baba muri KINA Music baririmbaga Rubanda Remix

Abana bagendaga bagerageza amahirwe yabo

Anitha niwe wari umushushyarugamba muri ibi birori

Aha abana bifuza kugaragaza impanozabo ngo bazajye muri iri shuri barimo biyandikisha

AY KUFANYA SHOW MAALUM YA ROAD TO CHOMVA 2013

Ambwene Yesaya A.Y yupo kwenye category mbili katika Channel O Music video awards mwaka 2013. Category hizo ni Best Gifted Male video ambapo kumpigia kura tuma sms 1D kwenda +278 3142100415, Best Gifted East Video tuma sms 12D kwenda +278 3142100415 au unaweza kwenda www.channelo.com kumpigia kura.
Jumapili
ya tarehe 17 mwezi huu pale club billcanas ungana na A.Y kwenye show
maalum ya road to Chomva 2013 akiwa kwenye stage moja na wasanii kama
Fid Q, Ommy Dimpoz,God Zillah,Stereo na wengine wengi kwa kiingilio cha
Tsh 10,000 tu
INSTAGRAM YAMUUMBUA MWANADADA SHILOLE...! DU! CHEKI HAPA
SHILOLE aliamua
kutandika yai kwenye Instagram, ili kuzipa uzito shukrani zake za dhati
kwa muongozaji wa video yake ya ‘Nakomaa na Jiji’ itakayotoka Jumamosi
hii, Nisher.
Bahati mbaya, yai lake lilivunjika mapema wakati lilipokuwa likiufikisha ujumbe huo na kuwafanya watu waligeuzie mjadala.
Kama tumekuacha kwa lugha hiyo, ni kwamba Shilole aliandika Kiingereza kilichokosewa sarufi aka Broken English.
Shilole aliandika: I did ever think I would do a nice video like this thank you alot to my director @nisherbybee.
Baada ya hapo, haya ndio yaliyosemwa:
[ @ ] nicrac1914 Lugha za majahazi!! Ongea Kiswahili tu utaeleweka vzr
[ @ ] lisammbando Speaking English is not a joke Hahahahah
[ @ ] clararobinso Me cjaelewa hiyo lugha mpz, kwan ulitaka kuandika nn hapo?
[ @ ] pinnadelicious Jmn mbona mnapenda kumcritisize hvo mwenzenu sa amekosea nn nyie mnaojua, duh dis is too much
[ @ ] teddybebe Jaman all in all si mmemuelewa.hata mbuyu ulianza kama mchicha kila kitu kinaitaji mazoezi na usione aibu hata wakikucheka mpenz jitahid tu utaelewa. @shilolekiuno
[ @ ] teddybebe Kumbukeni hata nyie mlitoka huko hata kama mlisoma za kishuaa. Vizur kumsahihisha na sio kumbeza 4h
[ @ ] m_bongo her message sent, delivered, read and understood hicks. By the way english isn't her first language.
[ @ ] tutupahamidu Did or didnt?!!thank you or thanks to my director?!
[ @ ] raqey_unique Yeah her English is not gud but a bet u all understood wat she meant so stop hating
[ @ ] pinnadelicious Kiswahili every one anajua so mdada wawatu anajitahidi awe internationally so km tumeelewa wat she mean mbona hakuna tatizo, sema bongo tumemeza!!!!
[ @ ] eshyleta bora washushuliwe tu, coz baadae wanaleta nyodo za kiswanglish, et kiswahili hawezi baadhi ya maneno, km huwezi kithungu tumia lugha yako ya taifa
[ @ ] makavlive @shilolekiuno mwisho wa ujuaji ni aibu...ona sasa, ungeandika kiswahili isingekua shida, kutaka ung'eng'ee shule yenye hujaenda...acha kuiga paka la baa wee ongea kinyamwezi unachokijua!
[ @ ] auma_bebe we al knw dat english iz not our mothertongue n tz nxma mnaijua histry yke shilole ss y mnamponda hvyo bdala hta ya kumrekebisha?
Bahati mbaya, yai lake lilivunjika mapema wakati lilipokuwa likiufikisha ujumbe huo na kuwafanya watu waligeuzie mjadala.
Kama tumekuacha kwa lugha hiyo, ni kwamba Shilole aliandika Kiingereza kilichokosewa sarufi aka Broken English.
Shilole aliandika: I did ever think I would do a nice video like this thank you alot to my director @nisherbybee.
Baada ya hapo, haya ndio yaliyosemwa:
[ @ ] nicrac1914 Lugha za majahazi!! Ongea Kiswahili tu utaeleweka vzr
[ @ ] lisammbando Speaking English is not a joke Hahahahah
[ @ ] clararobinso Me cjaelewa hiyo lugha mpz, kwan ulitaka kuandika nn hapo?
[ @ ] pinnadelicious Jmn mbona mnapenda kumcritisize hvo mwenzenu sa amekosea nn nyie mnaojua, duh dis is too much
[ @ ] teddybebe Jaman all in all si mmemuelewa.hata mbuyu ulianza kama mchicha kila kitu kinaitaji mazoezi na usione aibu hata wakikucheka mpenz jitahid tu utaelewa. @shilolekiuno
[ @ ] teddybebe Kumbukeni hata nyie mlitoka huko hata kama mlisoma za kishuaa. Vizur kumsahihisha na sio kumbeza 4h
[ @ ] m_bongo her message sent, delivered, read and understood hicks. By the way english isn't her first language.
[ @ ] tutupahamidu Did or didnt?!!thank you or thanks to my director?!
[ @ ] raqey_unique Yeah her English is not gud but a bet u all understood wat she meant so stop hating
[ @ ] pinnadelicious Kiswahili every one anajua so mdada wawatu anajitahidi awe internationally so km tumeelewa wat she mean mbona hakuna tatizo, sema bongo tumemeza!!!!
[ @ ] eshyleta bora washushuliwe tu, coz baadae wanaleta nyodo za kiswanglish, et kiswahili hawezi baadhi ya maneno, km huwezi kithungu tumia lugha yako ya taifa
[ @ ] makavlive @shilolekiuno mwisho wa ujuaji ni aibu...ona sasa, ungeandika kiswahili isingekua shida, kutaka ung'eng'ee shule yenye hujaenda...acha kuiga paka la baa wee ongea kinyamwezi unachokijua!
[ @ ] auma_bebe we al knw dat english iz not our mothertongue n tz nxma mnaijua histry yke shilole ss y mnamponda hvyo bdala hta ya kumrekebisha?
SITEGEMEI KUMUOA WEMA DIAMOND
RAIS
wa Wasafi Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’, juzikati alifunguka kuwa
kwenye maisha yake ya ndoa atakayoingia siku chache zijazo, aliyekuwa
mchumba wake wakamwagana na kurejeana hivi karibuni, Wema Sepetu
asitegemee kuolewa naye.
Diamond
ambaye ni staa wa Bongo Fleva aliyasema hayo mbele ya mwandishi wetu
Novemba 7, mwaka huu jijini Dar kufuatia kuulizwa anamchagua nani wa
kumuoa kati ya Wema Sepetu na mchumba wake wa sasa, Penniel Mungilwa
‘Penny’.
Swali
kwa Diamond liliibuka baada ya kuzagaa kwa tetesi kwenye mitandao ya
kijamii kwamba yu mbioni kumvisha pete ya uchumba mmoja wa mademu zake.
Swali
hilo lilimfanya Diamond afunguke kwa kusema kwamba anachokijua yeye na
ambacho kipo kwenye mikakati yake, mke wake mtarajiwa ni Penny.
“Najua
wengi wanahisi mimi ninaweza kuoa mwanamke zaidi ya mmoja kutokana na
dini yangu kuruhusu lakini jambo hilo mimi silifikirii hata kidogo kwa
kuwa kwenye maisha yangu nilishapanga nitaoa mke mmoja tu,” alisema
Diamond.
Akaendelea: “Watu
wanasema mengi juu yangu na Wema, wengi wao hawajui nafsi yangu inataka
mwanamke yupi, ninachoweza kusema na watu wakasikia na kunielewa basi
wajue kwamba Penny ndiye mke wangu, Wema asitegemee kuolewa na mimi.”
Diamond
alikwenda mbele zaidi kwa kumwanika Penny kwamba ana sifa ya kuwa mke
kwani ni mvumilivu sana na anaonesha upendo wa dhati kwake.
“Kwa
maana hii basi hakuna mwanamke mwenye jina kubwa wala sura nzuri zaidi
ya Penny ninayeweza kumwita mke wangu. Najua kila mtu ana namna yake ya
kuchagua ampendaye, ndiyo maana utaona watu wanasema hili mara lile,
lakini hawajui nafsi yangu inataka mwanamke wa aina gani,” alisema Diamond na kuongeza:
Kama
kuna demu anayejipa matumaini hayo basi asitegemee hata siku moja kwa
sababu kuoa kwangu kutazingatia mke mwema na si bora mke, Penny pekee
ndiye mwenye sifa za kuwa mke wangu,” alisema Diamond.
mdodosaji wetu alipompigia simu Penny ili kutaka kupata maoni yake kuhusu tamko la Diamond, simu ya mwanadada huyo ilikuwa ikiita bila kupokelewa.
Baada ya kumkosa Penny, mwandishi wetu alimtwangia simu Wema, naye kama Penny, simu yake iliita mara kadhaa lakini haikupokelewa
CREDIT
MSANII NYAWANA FUNDIKIRA AFARIKI DUNIA
Msanii wa taarab nchini anayejulikana kwa jina la Nyawana Fundikira aliyetamba na wimbo wa 'Nipo Kamili Nimejipanga', amefariki dunia mchana huu kwa ugonjwa wa malaria.
Nyawana amefariki akiwa kwake maeneo ya Mwananyamala B na mwili wake sasa umepelekwa kuhifadhiwa Hospitali ya Mwananyamala, Dar.
Marehemu Nyawana alizaliwa mwaka 1977 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na kupata elimu yake katika shule mbalimbali kuanzia Msingi, Sekondari na elimu ya juu.
Shule ya Msingi Zanaki ndipo alipopata elimu yake mwaka 1983 na kuhitimu mwaka 1989, wakati ile ya Sekondari alisoma Masjid Quba mwaka 1992 na kumalizia Al Haramain.
Baada ya hapo alisomea Uhadhiri kabla ya kumaliza na kusomea masomo ya Uandishi wa Habari na Utangazaji, ambapo pia alishiriki shindano la urembo na kunyakua taji la Miss Tabora, mwaka 1996.
Mbali na sanaa ya uimbaji, pia Nyawana ni mwandishi na mtangazaji, aliyefanya vyema mno, hasa kwa kutangaza vipindi vya taarabu, katika redio kadhaa, ikiwamo ile ya Voice of Tabora.
Baadhi ya nyimbo alizorekodi marehemu ni pamoja na 'Nipo Kamili Nimejipanga' na 'Umesharoga Wangapi', nyimbo ambazo zilitangaza na kuonyesha kipaji chake halisi.
Baadhi ya makundi ya taarab aliyowahi kufanya nayo kazi marehemu ni, Kings Modern Taarab na Tanzania Moto Modern Taarab, maarufu kama T-Moto.
Mungu ailaze mahali pema peponi! AMEN!
EXCLUSIVE: PAPAA MASAI KUACHIA NGOMA MPYA ( Mapenzi kama upele )

MSANII anaekuja kwa kasi katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya hapa nchini mwenye asili la kabila la wamasai, Baada ya kutoka kibao chake kikali kabisa alichomshirikisha mwanamuziki nguli Ali kiba Sasa amekuja kivingine..!
WEMA SEPETU WATAZAMAJI WA SHOW YAKO WENGI NI WATANZANIA WA KAWAIDA SANA KINGEREZA CHA NINI
Ilani: Ukitaka kuangalia kipindi cha
reality TV cha Wema Sepetu, ‘In My Shoes’ na shule hukwenda, nakushauri
ukae na kamusi ya Kiingereza – Kiswahili ili uweze kwenda naye sawa. Hii
ni kwasababu, asilimia 50 ya lugha anayoitumia mrembo huyu ni
Kiingereza ambayo kwa Watanzania wengi imewapita kushoto.
Nimesikia watu wengi mno wakilalamika kuwa matumizi ya Kiingereza kingi kwenye show yake yamewafanya wasikipende kipindi hicho na kunifanya nihoji, nani walengwa hasa wa kipindi chake? Kwa niaba yao ningependa kulifikisha ombi lao kwa Wema kuwa atumie zaidi Kiswahili katika kuongea ili wengi wamwelewe. Pamoja na kwamba Wema ndivyo alivyo na hata wakati akihojiwa kwenye TV/RADIO ndivyo huongea, ajizuie katika kipindi chake ili kila mtu amfuatilie.
Katika elimu yangu ya uandishi wa habari na utangazaji wa radio/TV nilifundishwa kuwa, wakati wa kuandaa kipindi chochote kile, ni lazima ubainishe, walengwa wa kipindi chako (target audience). Kwa kuangalia umaarufu wa Wema Sepetu, hakuna shaka kuwa walengwa wake wakubwa, ni watu wa kawaida kabisa ambao ndio wanunuaji wakubwa wa magazeti ya udaku yaliyolikuza jina lake nchini na wamekuwa wakimpenda sana.
Kwa namna anavyokiendesha kipindi chake kwa kusimulia matukio yanayooneshwa kwenye kipindi, walengwa ni wale wanaokielewa Kiingereza. Swali ni je, wasomi, raia wa kigeni au watoto wa Masaki, Osterbay na maeneo mengine ya watu wa hali ya juu wanaosoma ama waliosoma kwenye shule za kishua wanakiangalia kipindi hicho? Sio kweli na kama wapo basi ni wachache.
Watu kama hao kwanza hawatumii ving’amuzi vinavyotumika na watu wa hali ya kawaida ambako TV za kibongo zipo. Watu wa maeneo hayo, huangalia DSTV zaidi ambako huko hupenda kuangalia vipindi vya kinyamwezi kama, Keeping Up With the Kardashians, Ice Loves Coco, The Hustle Family ya T.I na Tiny ama The Real Husbands of Hollywood na zingine kibao. TV za kibongo huangaliwa kwa nadra na tena labda wakati wa taarifa ya habari saa 2 usiku, na baada hapo huendelea kuangalia TV za nje.
Kipindi cha Wema Sepetu ambacho huoneshwa na runinga ya EATV, kinaangaliwa zaidi na watu wa kawaida ambao kwa bahati mbaya amekuwa akiwatenga kwa kupenda mno kuongea Kiingereza. Tanzania bado hatujafika huko na hilo Wema anapaswa aliweke kichwani mwake. Asiletee maisha ya Hollywood kwenye kipindi kinachoangaliwa na Mtanzania wa kawaida.
Kama angekuwa hajui kabisa Kiswahili, basi hilo lingeeleweka. Abadilike..
Nimesikia watu wengi mno wakilalamika kuwa matumizi ya Kiingereza kingi kwenye show yake yamewafanya wasikipende kipindi hicho na kunifanya nihoji, nani walengwa hasa wa kipindi chake? Kwa niaba yao ningependa kulifikisha ombi lao kwa Wema kuwa atumie zaidi Kiswahili katika kuongea ili wengi wamwelewe. Pamoja na kwamba Wema ndivyo alivyo na hata wakati akihojiwa kwenye TV/RADIO ndivyo huongea, ajizuie katika kipindi chake ili kila mtu amfuatilie.
Katika elimu yangu ya uandishi wa habari na utangazaji wa radio/TV nilifundishwa kuwa, wakati wa kuandaa kipindi chochote kile, ni lazima ubainishe, walengwa wa kipindi chako (target audience). Kwa kuangalia umaarufu wa Wema Sepetu, hakuna shaka kuwa walengwa wake wakubwa, ni watu wa kawaida kabisa ambao ndio wanunuaji wakubwa wa magazeti ya udaku yaliyolikuza jina lake nchini na wamekuwa wakimpenda sana.
Kwa namna anavyokiendesha kipindi chake kwa kusimulia matukio yanayooneshwa kwenye kipindi, walengwa ni wale wanaokielewa Kiingereza. Swali ni je, wasomi, raia wa kigeni au watoto wa Masaki, Osterbay na maeneo mengine ya watu wa hali ya juu wanaosoma ama waliosoma kwenye shule za kishua wanakiangalia kipindi hicho? Sio kweli na kama wapo basi ni wachache.
Watu kama hao kwanza hawatumii ving’amuzi vinavyotumika na watu wa hali ya kawaida ambako TV za kibongo zipo. Watu wa maeneo hayo, huangalia DSTV zaidi ambako huko hupenda kuangalia vipindi vya kinyamwezi kama, Keeping Up With the Kardashians, Ice Loves Coco, The Hustle Family ya T.I na Tiny ama The Real Husbands of Hollywood na zingine kibao. TV za kibongo huangaliwa kwa nadra na tena labda wakati wa taarifa ya habari saa 2 usiku, na baada hapo huendelea kuangalia TV za nje.
Kipindi cha Wema Sepetu ambacho huoneshwa na runinga ya EATV, kinaangaliwa zaidi na watu wa kawaida ambao kwa bahati mbaya amekuwa akiwatenga kwa kupenda mno kuongea Kiingereza. Tanzania bado hatujafika huko na hilo Wema anapaswa aliweke kichwani mwake. Asiletee maisha ya Hollywood kwenye kipindi kinachoangaliwa na Mtanzania wa kawaida.
Kama angekuwa hajui kabisa Kiswahili, basi hilo lingeeleweka. Abadilike..
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)