Jumatano, 15 Januari 2014

Kala Jeremiah akiongelea wimbo wake Wale Wale

Picha, Profesa Jay Na Diamond Wakiwa Bongo Records, Soma Alichoandika Jay.

Legendary Hiphop Artist kutoka Tanzania Profesa Jay akiwa na Diamond ndani ya studio za Bongo Records Na Best Tanzania Producer of All Time P Funk Majani. Post Ya Profesa Kuhusu Hii Picha Iko Hapa

Nikki Mbishi Anafanya Kitu Tofauti Kwenye Huu Wimbo


Rapper anayeaminika kuwa na uwezo mkubwa wa mitindo huru na mistari ya nguvu kwenye kazi zake za muziki ameweka post ya picha kuhusu his next big collabo itakayo husisha msanii kutoka Kenya na Mwingine kutoka Tanzania.


Sauti ya King Wa Rapper Kutoka Kenya Collo Na Msanii/Mtangazaji Vanessa Mdee zitasikika kwenye wimbo huo. Utaitwa Toast Of Life.

Pole Kwa Msanii Rich Mavoko Kwa Kumpoteza Baba Yake Mzazi


Kijana mwenzetu Richard Martin Maarufu Kama Rich Mavoko leo amempoteza Baba Yake Mzazi Mr Martin.

Taarifa zaidi nimezipata kutoka kwa Aliyekuwa manager wa Rich Mavoko, ameiambia sammisago.com kuwa Baba yake anaishi Morogoro na mara nyingi Rich husafiri kwennda kumuona anapokuwa anaumwa.

Rich Mavoko ameandika ameandika hivi kwenye acccount yake ya instagram
“R.I.P my Father… amefariki sasa ivi jamaniiii….” post iliyowekwa na picha ya giza.

LIL WAYNE - DONT PLAY (NEW SONG 2014)

Akon - Breakdown (NEW STADIUM 2014)

Beyonce - God Made You Beautiful NEW SONG (AUDIO) 2014

Rihanna ft miley cyrus type beat - love themaskedjerk x uah ( snippet ) ...

Chris Brown - Wildcat (New Song 2014)

Justin Bieber - Before The World Ends (New Song 2014)

Ronaldo and Bale vs Messi and Neymar - Skills & Goals - 2013 (HD)

ANGALIA ZAIDI YA WATU 200 WALIOZAMA KWENYE MTO NILE WAKIKIMBIA VITA


 
xx
Zaidi ya watu 200 raia wa Sudan Kusini wamezama katika ajali ya boti kwenye mto Nile wakikimbia vita vinavyoendelea katika mji wa Malakal.
Taarifa hii ni kwa mujibu wa msemaji wa jeshi la Sudan Kusini.
Boti hiyo ilizama ikiwa imewabeba watu wengi  kupita  kiasi kinachotakiwa kwa uwezo wake.
Watu hao walikuwa wanakimbia vita vinavyoendelea katika mji wa Malakal.
Mapigano yalianza Sudan Kusini mwezi December mwaka jana baada ya Rais Salva Kiir kumtuhumu aliyekuwa makamu wake wa Rais Riek Machar kwa kuwa na njama ya kumpindua.
Umoja wa Mataifa unasema kuwa zaidi ya watu 1,000 wameuawa tangu ghasia kuanza nchini humo.