Kijana mwenzetu Richard Martin Maarufu Kama Rich Mavoko leo amempoteza Baba Yake Mzazi Mr Martin.
Taarifa zaidi nimezipata kutoka kwa Aliyekuwa manager wa Rich Mavoko, ameiambia sammisago.com kuwa Baba yake anaishi Morogoro na mara nyingi Rich husafiri kwennda kumuona anapokuwa anaumwa.
Rich Mavoko ameandika ameandika hivi kwenye acccount yake ya instagram “R.I.P my Father… amefariki sasa ivi jamaniiii….” post iliyowekwa na picha ya giza.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni