Mwanamziki maarufu nchini tanzani Nasibu Abdul maarufu kama Diamond anatarajia kufanya kolabo na mwanamzi ki wa kizazi kimpya kutoka mbeya anaitwa peter mihigo kwa jina maarufu PCAT ,kutaka na maelezo ya msanii huyo amesema kuwa diamondi amekyubali kufanya kolabo katika wimbo wake unao enda kwa jila la swing pia kwa upande wapili daimond amekili kuawa atafanya wimbo na msanii huyu ameongeza kua kwa sasa anataka kuinua vipaji wa wasanii wanao chipukia ili waje kua kama yeye ,kwa maelezo zaidi amesa msanii pcat ndie ataemfata dar iliweze kutengeneza wimbo huo
kwa mujibu wa pcat nyimbo utatengenezwa kwenye studio za BURN RECORD na producer atakua SHEDY CLEVER utakumbuka kua shedy clerver ndio ametoa nyimbo ya namber one ya diamond ,nae anatarajia nyimbohiyo kua kali kinomanoma ,nyimbo itatoka kama wikimbili zijazo kaaa mkao wa kusikiliza