Jumanne, 5 Novemba 2013

WEMA, DIAMOND WAMTESA PENNY



Stori: Mwandishi Wetu

ISHU ya wapenzi zilipendwa, Wema Isaac Sepetu na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kudaiwa kurudiana inadaiwa kumtesa mpenzi wa sasa wa Diamond ambaye ni mtangazaji wa DTV, VJ Penniel Mungilwa ‘Penny’ hivyo kulazimika kukiri kuwa hajawahi kupitia wakati mgumu kama anaopitia sasa.

Kwa mujibu wa vyanzo vya karibu na Penny, mwanadada huyo amekuwa akikosa amani kila anaposikia habari za Wema kurudiana na Diamond hivyo kuwa katika wakati mgumu.
“Watu wanapomwambia au kumuuliza Penny habari za Diamond kurudiana na Wema amekuwa akiumia sema tu watu hawajui,” kilisema chanzo hicho.
Hata hivyo, baada ya taarifa hizo kuwa habari ya mjini, mwishoni mwa wiki iliyopita, Penny alifunguka kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa anachokifanya ni kuhakikisha anamshikilia staa huyo wa Bongo Fleva hadi hapo Mungu atakapoamua vingine.

“Katika uhusiano niliowahi kuwa nao huu ni mgumu mno,” ilisomeka sehemu ya utetezi wa Penny aliouandika juu ya penzi lake na Diamond.


Hakuishia hapo kwani aliendelea kujitetea kwa wadau wake ambao walimjibu kuwa kinachoonekana anamhofia Wema ambaye akikita penzi lake kwa Diamond, kwa ustaa wake, atamfanya mwanamuziki huyo kuendelea kuliweka juu jina lake.
Katika maelezo yake, Penny alikiri kuwa mapenzi yanatesa lakini anaamini mateso hayo ni ya muda tu hivyo liwalo na liwe yeye anampenda Diamond.

Wiki iliyopita, Wema na Diamond waliripotiwa wakidaiwa kurejesha upya penzi lao lililozimika mwaka jana, jambo ambalo lilimpa Penny wakati mgumu huku akieleza kuwa anachoamini ni kuwa yeye ndiye mmiliki halali wa penzi hilo.

Lolilo :“Abari mw’idini rya islam bakwiye kwitwararika amabwirizwa y’idini” Yanditswe taliki ya 9-08-2013







Mu gihe bisanzwe bizwi ko umuririmvyi Lolilo ari mw’idini rya Islam, umukunzi wiwe nawe Loliane akaba yahoze mw’idini rya ekleziya gatolika , muri ino minsi, idini rya islam rihimbaza Aid el-Fitr, Lolilo, na Loliane, baragize ico bashikirije, bongera bavuga n’ingene bigenjeje mu kiringo c’ukwezi kwa ramadhan.
Loliane yabanje gushikiriza icamutumye ahindura idini yahoramwo, avuga ko yabitumwe n’urukundo akunda umukunzi wiwe Lolilo ari navyo vyanatumye aca afata intumbero yo kumukurikira kugira barushirizeho kwumvikana bari hamwe no gukomeza urukundo rwabo.
Kubwiwe, urukundo ruruta vyose kuko rushobora no gutuma umuntu afata n’ingingo atarazi ko yofashe. Avuga ko imbere yuko yinjira mw’idini rya islam, ntiyakunda n’abayirimwo ariko kuva aho bungiye ubucuti na Lolilo, yumvise akunze idini rya islam kuko ariwe yayimukundishije. Ubu bakaba barubatse imbere y’amategeko mw’idini rya islam.
Nayo kubwa Lolilo abari mw’idini rya islam bose bakwiye kwitwararika amabwirizwa y’idini na cane cane kwubahiriza ibisabwa mu gihe bari mu kwezi kwa ramadhan. Avuga, ko ubwiwe yitanze, kuko ibiteramo vyose yari yatumiwemwo haba ino mu Burundi canke mu bihugu bibanyi, ntanakimwe yagiyemwo kugira yifadikanye hamwe n’abandi bari mw’idini rya islam mu kwubahiriza ibisabwa mw’idini rya islam.
Ubu, baraye barangije ukwezi kwa ramadhan, biteguriye kugirisha ibiteramo I Muyinga kuri uno munsi wa gatanu wa 9 Myandagaro, n’ejo ku munsi wa gatandatu bikazobera hano I Bujumbura.

AMMY NANDO APEWA NAFASI YA KIPEKEE KUSHIRIKI TENA BIGBROTHE

AMMY NANDO APEWA NAFASI YA KIPEKEE KUSHIRIKI TENA BIG BROTHER AFRICA YA MWAKANI 2014

Image



After being disqualified from the recently concluded BBA The Chase show, Nando Khan (also known as Ammy Nando) has gotten himself another chance at the game!

Word reaching us right now is that, he will be representing Tanzania in the 9th season of the Big Brother Africa show, tagged BBA Stars.

Reliable sources also reveal that he has accepted the offer and will be back in the house come next year.

The Tanzania rep got disqualified shortly after his fight with Ghana's Elikem.

Nando is rumored to have apologized to Elikem during the finale party.

Lulu Aelezea Jinsi Anavyotongozwa Na Mamia Ya Wanaume..


Image

MSANII wa filamu nchini Tanzania Elizabeth Michael, maarufu kwa jina la (Lulu) ameonyesha kufurahishwa na tukio la wanaume wengi wenye pesa nyingi kumtongoza na kumtaka kimapenzi kila kukicha..

Lulu alisema kwamba pamoja na kwamba wanaume wengi wa kila aina na wenye pesa nyingi wanamtongoza kila siku, lakini pia anafurahia kupendwa na kwamba anapogundua kwamba anapendwa huwa anajisikia raha na mwenye rufaha zaidi.

"Ninatongozwa sana kila siku na wanaume, tena wenye pesa zao.Binafsi nafurahi sana kupendwa na ninapogundua kwamba mtu flani ananipenda huwa najisikia faraja sana..

"Kutongozwa kwa mwanamke yeyote mzuri ni jambo la kawaida.Kukubali au kukataa ombi la mwanaume ni maamuzi ya mtu binafsi.

Akifunguka zaidi kuhusu bahati hiyo , Lulu alidai kuwa hali ya kutongozwa sana iliongezeka baada ya yeye kutoka gerezani...

"Niliporejea uraiani, kasi ya kutongozwa ilizidi sana tofauti na nilivyokuwa nadhani".

Huu ndio uthibitisho unaoonyesha DIAMOND & WEMA wamerudiana




Utata umeendelea kuibuka kuhusu picha zinazosadikiwa ni za hivi karibuni zikimwonesha Wema Sepetu na Nasib Abdul "Diamond Platnumz" katika nyakati tofauti kwenye nchi moja huko Asia wakiwa kimahaba CHUMBANI

Picha hizi zimehusishwa na usaliti wa Diamond kwa mpenziwe wa sasa aitwaye Penny, na gazeti moja la udaku lilichapisha habari kuwa wawili hao hawapo katika hali nzuri baada ya Diamond kurudiana na aliyekuwa mpenzi wake, Wema.

Wakati Wema akiripotiwa kuwa alikuwa China kwa ajili ya sherehe za kumbukumbu ya sikukuu yake ya kuzaliwa, Diamond aliripotiwa kipindi hicho hicho akiwa Malaysia kwa ajili ya shughuli zake za kutumbuiza na burudani.


Image

Image

Image

Image




Mama Diamond amkataa WEMA SEPETU..


Image


MAMA mzazi wa mkali wa ngoma ya Number One, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kasim ‘Sandra’ ameingilia kati penzi lililofufuka upya kati ya mwanaye na staa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu.

Habari za CHUMBANI zimetonya kuwa baada ya kuambiwa na kuoneshwa picha za Diamond akiwa kimahaba na Wema alikuja juu akidai kuwa hamtaki Wema Sepetu kutokana na tabia zake na kudai kuwa Penny ndo chaguo halali la Diamond.

Akizungumza na gpl nyumbani kwake Sinza-Mori jijini Dar wikiendi iliyopita, mama huyo alisema kuwa kwa sasa hafahamu chochote kuhusu Diamond kurudiana na Wema zaidi ya kusikia kwa watu na kuona picha katika mitandao ya kijamii.

“Kuhusu Nasibu kurudiana na Wema, nasikia tu na kuoneshwa picha namsubiri Nasibu arudi kisha nikae naye ndipo nitatoa msimamo wangu,” alisema mama huyo.

Mwandishi huyo kadiri alivyozidi kumchimba mama mkwe huyo wa Wema ni jinsi gani anavyojisikia kuhusu tabia ya kubadilisha wanawake kama nguo, ikizingatiwa yeye ni mzazi haoni kama mwanaye anamfedhehesha alisema kuwa hayo ni maisha yake.

“Hayo ni maisha yake mwenyewe kwa kuwa ameshazoea kuonekana katika magazeti kila wakati mi niongee nini wakati ndiyo maisha aliyojiwekea,” alimalizia kusema.

Mkenya, Lupita Nyong’o atwaa tuzo ya Hollywood

Image

Muigizaji wa Kenya, Lupita Nyong’o ametwaa tuzo yake ya kwanza ya Hollywood Film Awards zilizofanyika huko Beverly Hilton jijini Los Angeles, Marekani.
Image

Lupita Nyong’o akitoa shukrani
Nyong’o ameshinda tuzo New Hollywood Award kwa kuigiza filamu ya ’12 Years A Slave’ iliyoanza kuoneshwa kwenye majumba ya sinema Marekani na Uingereza wikiendi iliyopita.

Pamoja na hivyo, Nyong’o amekuwa akitajwa miongoni mwa waigizaji wanaoweza kuwania kipengele muigizaji bora msaidizi wa kike kwenye tuzo Oscar.
Image

Lupita alijikuta akibubujikwa na machozi ya furaha wakati akitoa maneno yake ya shukrani

Dogo Janja atimuliwa Mtanashati Entertainment, Makosa yake ni kuvuta bangi na kutoenda shule


Image


Akizungumza na Mtandao huu, kiongozi wa Mtanashati Entertainment Ustaadh Juma Namusoma alisema kuwa sababu za kumtimua Dogo Janja ni utovu wa nidhamu, unywaji pombe, kutokwenda shule pamoja na uvutaji bangi.

Aliongeza kuwa tayari amempatia nauli ya shilingi 90,000/= kurudi nyumbani kwao jijini Arusha alipotokea. Dogo Janja alitua kwa mbwembwe jijini Dar es Salaam kwa ndege Juni 22 mwaka jana akitokea Arusha na kujiunga na kundi hilo.

Awali alikuwa katika kundi la Tip Top Connection linaloongozwa na Madee lakini ilitokea kutoelewana kati yao na kurudishwa kwao Arusha.

Alipopigiwa simu na Mtandao huu, Dongo Janja alidai kuwa bado ni memba hai wa Mtanashati Entertainment.

Wema Sepetu atumia milioni 13 kuibadili ngozi yake akiwa China baada ya kuharibiwa sana na Mkorogo



Image


IMEVUJA! Kumbe ile safari ya nchini China ya Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu ‘Madam’ lengo lilikuwa kubadili ngozi ya mwili wake katika mwonekano mpya ambayo ilishaharibika kwa mkorogo.
Image

Wema Sepetu ‘Madam’.

Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, staa huyo aliingia nchini humo na mdogo wake aitwaye Bite ambaye kazi yake kubwa ilikuwa kufanya mawasiliano na nyumbani, Tanzania endapo lingetokea baya wakati wa zoezi hilo.


KWA NINI ALIAMUA KUDILI NA NGOZI?
Mpashaji wetu aliliambia Amani kwamba, Wema alichoshwa na ‘vijembe’ vya watu mbalimbali wakiwemo wabaya wake kuwa ngozi yake imebabuka kwa kutumia mkorogo kupitiliza.
Image

Miguu ya Wema Sepetu ‘Madam’ kabla ya kubadili ngozi.

“Kuna wakati Wema alikuwa akikosa amani kutokana na maneno ya watu, wengine waliokuwa wakimrushia vijembe ni masupastaa wenzake, ndiyo maana akaamua kwenda China kubadili ngozi yake iwe na mwonekano mpya,” kilisema chanzo.

Habari zaidi zilidai kwamba, supastaa huyo hakupenda kabisa Wabongo wajue kuwa yupo China kubadili ngozi, hata baadhi ya magazeti yalipoandika amekwenda kujirusha na msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ alimshukuru Mungu siri yake imesitirika.

UBADILISHAJI WA NGOZI WATUMIA SAA 12
Kwa mujibu wa chanzo chetu, Wema aliingia kwenye kliniki ya ngozi katikati ya mwezi Oktoba, saa 3:12 asubuhi na shughuli ikamalizika saa 2:25 usiku.

“Alikaa kliniki toka saa tatu na dakika kumi na mbili asubuhi hadi saa mbili na dakika ishirini na tano usiku,” kilisema chanzo.

MADAKTARI WAMWONYA
Habari zaidi zinaeleza kuwa, madaktari waliokuwa wakimfanyia zoezi hilo walipomaliza walimuonya kutorudia tena kutumia mikorogo au aina yoyote ya losheni zenye kubabua ngozi, kama vile carolite.

SEHEMU ZILIZOHARIBIKA SANA
Kwenye mwili wa Wema, sehemu zenye mikunjo kama nyuma ya magoti, kukaribia makwapa, mapajani na mbele ya viwiko ndizo ziliongoza kwa kuharibika hali iliyokuwa ikimfanya mara nyingi ashindwe kuvaa sketi za vimini.


SHILINGI MILIONI 13 ZAYEYUKA
Katika zoezi hilo, Wema ambaye pia ni msanii wa filamu za Bongo na bosi wa Kampuni ya Filamu ya Endless Fame Production ya jijini Dar, ametumia shilingi za Tanzania, milioni 13 ikiwa ni pamoja na nauli yake na Bite kwenda China na kurudi, malazi na chakula.

APEWA DAWA YA KUZUIA KUZEEKA MAPEMA
Baada ya ubadilishaji huo wa ngozi, Wema alipewa dawa ambazo zitamsaidia kutozeeka mapema.

AONYWA MATUMIZI YA SIGARA NA KUTOLALA KWA WAKATI
Mbali na dawa hizo, staa huyo alionywa na matumizi ya sigara aina yoyote ile na kujipanga upya kwenye suala la kulala mapema ili apate usingizi wa kutosha.


MENEJA WAKE ATINGA CHINA KUHAKIKI NGOZI
Habari zaidi zikawekwa wazi kwamba, Wema alimwita meneja wake, Martin Kadinda kwa lengo la kuhakiki mwonekano mpya wa ngozi ya staa huyo.

Juzi, Amani lilimtafuta Dk. George wa zahanati maarufu ya Sino iliyopo Sinza Mapambano (Kwawachina) ambapo alisema warembo wengi hubadili ngozi kwa mtindo wa plastic surgery, mara nyingi sehemu yenye mikunjo au kuharibika hukatwa na kuvutwa, kama mtu alishaanza kuzeeka huonekana kijana.

“Nchi maarufu kwa kubadili ngozi ni Thailand, lakini China na Afrika Kusini zimeanza kutoa huduma hiyo.

“Hapa nchini bingwa wa masuala ya ngozi ni Profesa Masawe, zamani alikuwa Muhimbili kwa sasa ana kituo chake upanga Dar,” alisema Dk. George.

Kuhusu madhara, Dk. George alisema hayako wazi sana inategemea maisha ya mtu ya kila sikiu.

MENEJA WA WEMA AZUNGUMZA
Baada ya gazeti hili kuzinyaka habari hizo, lilimtafuta meneja wa Wema, Martin Kadinda alipoulizwa alikiri kwenda China kwa ajili ya kuhakiki mwonekano mpya wa ngozi ya ‘Beautiful Onyinye’ huyo na kusema kuwa ilikuwa lazima bosi wake afanyiwe hivyo kwa sababu bosi ni kioo cha jamii.

“Unajua Wema ni kioo cha jamii, hivyo si vyema watu kumsema kwa kitu kidogo kuhusu ngozi yake kwani hata yeye alikuwa hapendezwi nayo. Lakini nashukuru sana kwa sasa ana mwonekano mpya wa ngozi.

“Nilikwenda kuhakikisha kama ngozi yake kwa sasa inaweza kuwa na mwonekano mpya, ni kweli wamefanikiwa madaktari. Wamempa masharti kadhaa, kama kulala sana, lakini pia wamempa dawa nyingine,” alisema Kadinda.


WEMA MWENYEWE SASA
Baada ya kuzungumza na Kadinda, Amani lilimuendea hewani Wema ili kumsikia na yeye kuhusu kubadili ngozi nchini China.

Amani: Mambo Wema, za China?
Wema: Salama tu, niambie.

Amani: Hapa kuna habari kuwa safari yako ya China ilikuwa kwa ajili ya matengenezo ya ngozi yako, vipi ni habari za kweli?
Wema: Ah! Sasa ngozi yangu imekuaje kwani?

Amani: Inasemekana una mwonekako mpya wa ngozi, ile ya kwanza hukuipenda kwa sababu ya kujeruhiwa na mkorogo.
Wema: (kimya kidogo) oke, sikupenda kulizungumzia hilo kwa sasa lakini ndiyo hivyo kama ulivyosikia.

Amani: Unaweza kuniambia ni shilingi ngapi umetumia?
Wema: Mh! Mbona unanikaba koo jamani? Kama shilingi
milioni 13 pamoja na gharama za usafiri.

Amani: Nashukuru sana Wema.
Wema: Karibu sana.

Chanzo: 

Mwananchi Forums

POLE BAHATI BUKUKU KWAKUFIWA NA BABA MZAZI


MSIBA mkubwa umeikumba familia ya msanii wa nyimbo za injili, Bahati Bukuku baada ya baba yake mzazi Mzee Paul Bukuku kufariki dunia baada kuugua kwa muda mrefu. Marehemu amefia nyumbani kwa Bahati maeneo ya Tabata, jijini Dar es Salaam.

Akiongea  Bahati amethibitisha kifo cha baba yake kilichotokea asubuhi ya leo, pia amewataka Watanzania kumuombea katika kipindi hiki kigumu kwake. "Baba yangu amefariki leo baada ya kuugua kwa muda mrefu, nawaomba Watanzania waniombee kwa kipindi hiki kigumu kwangu," alisema Bahati.

wema atembelea kambi ya miss Tanzania 2013



                              she loves cameras

                                      happy to see madam director

                         talking to the contenstant


                picha ya pamoja na warembo

MA AL QAEDA WAFANYA MAUAJI NCHINI KENYA

Terrorist Attack: Gunmen Kill At Least 25 After Opening Fire With AK 47s in Kenyan Mall


Policemen search a man for weapons as he walks out of Westgate Shopping Centre in Nairobi


A wounded woman reacts at Westgate Shopping Centre in Nairobi


People with children run for safety as armed police hunt gunmen who went on a shooting spree at Westgate shopping centre in Nairobi


Woman who had been hiding during the gun battle flees after armed police enter the Westgate centre, Nairobi (21 September)


Terrorist Attack: Gunmen Kill At Least 25 After Opening Fire With AK 47s in Kenyan Mall


Terrorist Attack: Gunmen Kill At Least 25 After Opening Fire With AK 47s in Kenyan Mall


Terrorist Attack: Gunmen Kill At Least 25 After Opening Fire With AK 47s in Kenyan Mall


Terrorist Attack: Gunmen Kill At Least 25 After Opening Fire With AK 47s in Kenyan Mall


Kuna wasomali walio attack Kenya katika mall kubwaaa inayoitwa westgate. masslessly wameua watoto  kwa wakubwa bila hata kujali.so far there is 39 people shot dead and 150 are injured sijui dunia inaenda wapi and inasemekana if ur muslim ur set free to go sasa sijui mauaji ni kwa ajili ya wakristo tu....GOD HAVE MERCY

MADE IN TANZANIA (USIKU WA MDUARA) MILTON KEYNES ON SAT 30TH NOV 2013 AT KILN FARM PUB MK11 3LH

HAPPINESS WATIMANYWA MISS TANZANIA 2013




                                                MISS TANZANIA 2013


                             KUMI BORA

                                       FLOWERS


                     MAMBO YA PERSONALLY





Mrembo aliyeibuka miss Tanzania 2013 anaitwa happiness watimanywa ndo mrembo aliyewapiga chini warembo wengine waliokua wakigombania taji la miss Tanzania 2013. hongera happy and we wish u well on your miss Tanzania journey

diamond alalamika nyimbo yake mpya kuvujishwa


The king of pop in Tanzania diamond platinum amelalamika kupitia kwenye mtandao wa instagram kuwa nyimbo yake ya nikifa kesho imevujishwa na aliyekua producer wake wa zamani. diamond  aliandika hivi kwa instagram "kuvujisha nyimbo yangu hakuwezi kunipunguzia wala kunidhiru chochote sanasana utanizidishia umaarafu na kunipa show zaidi...kama nimeacha kurecord nyimbo studio kwako uspanick,relax..tafta msanii mwingine mkali zaidi yangu umrecordie ngoma ahit kushinda mimi....ila kuvujisha unajisumbua bure #ulievujishanikifakesho

Nigeria Collaboration from Bongo Records


Bongo Recrods have been as busy as ever with Pfunk producing new material for Juma Nature, Afande Sele, Ferooz, and also a very intersting collaboration with Nigerian Artist G-Scent.
“In a normal world,East and West never meet.However, in the music world,East can meet West and when that happens,the best is a normal result.That is what happened when G-Scent from Nigeria(West Africa) collaborated with artists; Majani,Juma Nature and Stopa from Tanzania(East Africa).

 



In this Bongo Records production,East and West brings to the fans another club banger a love song with the title Nakupenda which means I love you in English.”
Also released is this video from Jimwage – Wachuja Nafaka
August 14, 2011 in Bongo Flava, General, News by

Sentore thrills crowd at launch of his debut album


photo
The Care star Amag The Black didn’t disappoint the crowd.Abdul Makanyaga was a good choice to perform at the concert.Maria Yohana crowned the night with her Intsinzi hit.Gakondo’s only female member Diana Teta.Jules Sentore performs.
Hundreds of music lovers on Sunday evening filled up Petit Stade in Remera to witness Jules Sentore’s launch of, Muraho Neza album

The Umwimerere w’Intore live concert started at 6p.m. It was concurrently staged with the shooting of a documentary about Rwanda’s progress over the last 20 years. The Ministry of Sports and Culture together with other partners including Rwanda Cinema Centre decided to stage the two events at the same place and time.

Gakondo group, in which Sentore is a member, featured prominently during the performances. The concert was opened by Urucyerereza traditional troupe, followed by Jacques Murigande, aka Mighty Popo and Sophie Nzayisenga, who electrified the crowd with her Inanga skills. Inanga is a stringed traditional musical instrument.

A group of female and male dancers spiced up the concert with graceful traditional dance routines.

Following in a similar vein was Amag The Black, whose rap vibes had Hip-hop diehards dance uncontrollably. Amag performed two songs, including Care before he was joined on stage by DJ Pius of Two 4real in their Agakayi collaboration.

Things got heated up when Abdul Makanyaga and his Igisope band stepped up to entertain the audience with the legend’s famous tunes.

The crowd was elated by the group’s performance of classic hits, including Hashize Iminsi and Ngwino mukunzi.

After Makanyaga, Gakondo group led by Intore Massamba hit the stage. The group captivated the audience with their sweet traditional melodies of Nyirabisabo, Mama shenge and Nyanyezi.

The group later paired with the country’s renowned female singer Maria Yohana Mukankuranga.

The 70-year-old Yohana also performed the trademark track Intsinzi, a song that was requested by the audience.

Chants of “Sentore! Sentore” echoed inside the stadium as the technicians went around performing final volume checks on instruments and microphones. The crowd simply couldn’t wait to see the singer. Finally, the band members took their places onstage, and the man himself strolled in.

Sentore emerged on stage at 9:27pm, donning black jeans and a green jacket. He was accompanied by Inganzo Ngari. The singer performed Udatsikira, Akazuba, Dutaramane, Insuti and Umugambi wayo, a gospel song he dedicated to his mother.

 “I have been an avid Sentore fan for a few years now, and I was ecstatic to learn that he was launching his own album,” said Peter Mugabo.

“The concert itself was highly entertaining. The energy from the crowd was received and returned by those onstage. Jules Sentore is a talented musician and among a few young local artistes who practice live music,” he added.

By the end of the concert at 10pm, a contented audience gave a standing ovation to Jules Sentore and all the artistes for their extraordinary performance. After his performance (which was short), he exited with a smile. The crowd thinned, but a few stayed behind for photo opportunities with the singer.

"It was awesome. They spiced the whole set of performance with Rwandan traditional music," said Anne-Marie Uwimana, one of the fans.

The sound and lighting were a good package, further enhanced with good graphics that were displayed on the stage and projector screens for revelers, to get a clearer view of the stage action.

The footage will be used in a documentary detailing Rwanda’s development path over the last 20 years. The Minister of Sports and Culture Protais Mitali was the guest of honour.

Old verses anew at kadongokamu fete

Hanny Ssensuwa wowed everybody with his guitar antics

For another year running, kadongokamu lovers gathered to celebrate one of Uganda’s oldest music genres.
The Kadongokamu ne Buganda fests, which was last year held at Kyadondo rugby grounds, was last Friday held at Hotel Africana.
Spearheaded by renowned businessman Sir Gordon Wavamunno, the show attracted several musicians led by old timers like Matia Kakumirizi, Fred Ssebatta, Harriet Sanyu, Dan and Frida Mugula; Alice Nabatta, Hanny Ssensuwa, Matia Luyima Sauda Batenda [Nakakawa] and Willy Mukaabya.
But it was Ssensuwa’s guitar antics that had everyone feeding from his palm –as he skillfully plucked it. At some point, he surprised guests when he used bottles to play the guitar. And this earned him a tip from Wavamunno of Shs 500,000.
“He is the world’s best. He does it more than the inventor; he is so good,” said Zainab Namukuye, who was among the few teenagers who graced the show that was largely attended by older people.
Another teenager, Salamah Nagaddya, couldn’t hide contentment about the show.
“No noise but only massage, this should be declared the show of the year…,” she said.
The show also had performances from a new crop of musicians such as Kazibwe Kapo, Gerald Kiweewa, Justin Nantume, Fred Ssebbale, Fred Sseremba, Kajjubi Kibijjigiri and Basudde Junior.
Basudde, Kazibwe Kapo and Sseremba, who did his late father [Christopher Ssebadduka]’s Oluwala Olunyunyunsi, moved the crowd. Basudde brought back the memories of his father with a performance that compared favourably with Herman Basudde. Kibijjigiri’s performance, on the other hand, left the chief guest, Buganda kingdom’s information minister, Denis Walusimbi clapping throughout the entire time he spent on stage.
But backstage, some  young musicians complained that they had been sidelined.
“Even if you don’t like Walukagga, there is no way he could miss in the souvenir book…,” said Kazibwe.
The organizers had printed a book that had what they called the best kadongokamu singers ever. Most of them are dead, the likes of Ssebadduka, Livingstone Kasozi, Paul Kafeero and Basudde, among others.
“Sir Wavamunno, people who sell to you this idea misinform you – that is why the attendance is not the best. We need to advertise it so well but maybe next time, we shall be involved,” Walukagga advised the main sponsor of the evening.

close with Jose Chameleone


This was probably another one of those hard interviews where in this case Chameleone did like coming to town during the day and as we all know you will never get a good interview.  The stated venue was at his studio located at his home in Seguku  off Entebbe Road. 
What has Chameleone been up to?
Chamleone:  I have been laying strategies for an international appeal and approach.  Being recognized internationally is every other artists dream.  I my effort to do this I have got a manager, Richard Dimosi.  I want to play with the top players in the game.  I am also planning on spending more time with my family.
Prof Jay (left) and Chameleone
About Sivyo Ndiyo
In the beginning it was alledged that without a right he used Prof. Jay’s instrumental as an instrumental for his song “Bomboclut’’.   At the moment the song is number one on all TZ charts and it means don’t judge things by the way they seem.  You might see someone driving a posh, very expensive car yet they owe so much money to the bank, or someone might stay in a very small house, but they are very comfortable because it is theirs.
Prof. Jay is one of the best guys I have worked with; he has no time to waste when it comes to the studio.  At the moment they are shooting a video for the song.
 “I learnt to give things time” Says Chameleone.
What does Chameleone stand for?
Chameleone:  I believe in nurturing things people despise, what they call trash and turning them into a fortune or worth a fortune.
What is your philosophy on life?
Chameleone: The best not yet, meaning I came in as an artist looking for fame, along with the fame I got the fortune.  I bought the BMW Z3 I admired the Hammer and the Vogue. 
What perfume do you use?