Jumatano, 15 Januari 2014

Nikki Mbishi Anafanya Kitu Tofauti Kwenye Huu Wimbo


Rapper anayeaminika kuwa na uwezo mkubwa wa mitindo huru na mistari ya nguvu kwenye kazi zake za muziki ameweka post ya picha kuhusu his next big collabo itakayo husisha msanii kutoka Kenya na Mwingine kutoka Tanzania.


Sauti ya King Wa Rapper Kutoka Kenya Collo Na Msanii/Mtangazaji Vanessa Mdee zitasikika kwenye wimbo huo. Utaitwa Toast Of Life.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni