Leo mwanadada wema sepetu amezidi kuudhihirishia
ulimwengu wa fans wake kuwa kijana raisi wa wasafi aka Diamond Platnumz
ndio mahabuba wake baada ya kupost video ya mwanamuziki huyo akiwa
kitandani kifua wazi kabisaaa huku akiandika “In da middle of his writing session…jus had to distrub him a little”. Mmmh hatari sana!
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni