Jumapili, 29 Desemba 2013

JACK PATRICK ADAIWA KUNASWA NA PIPI 66 ZA DAWA ZA KULEVYA ZENYE THAMANI YA MIL 215.5 CHINA

Mrembo anayedaiwa kuwa Jack Patrick (akiwa amefunikwa uso) mikononi mwa polisi nchini China baada ya kukutwa na pipi 66 za heroin tumboni.
Mwanamitindo Jack Patrick.…
Mrembo anayedaiwa kuwa Jack Patrick akipelekwa katika chumba maalum kwa ajili ya mkutano na wanahabari Jumanne Desemba 19, 2013 huko Macao China.
Polisi wakichunguza pipi zenye dawa za kulevya alizokutwa nazo mrembo anayedaiwa kuwa Jack Patrick.
Wanahabari nchini China wakichukua picha za dawa hizo za kulevya anazodaiwa kukutwa nazo Jack.
MODO maarufu Bongo, Jacqueline Patrick Cliff, anadaiwa kukamatwa na kilo 1.1 za dawa za kulevya aina ya heroin huko Macao nchini China. Dawa hizo zilikutwa tumboni mwake baada ya kushtukiwa na kufanyiwa X-ray ambapo alikutwa na jumla ya pipi 66 vyenye thamani ya dola za Kimarekani 137,720 sawa na shilingi milioni 215.5 za Kitanzania.
Inadaiwa kuwa Jack alikuwa akisafiri kutoka Thailand akielekea Macao Jumanne ya Desemba 19, 2013. Aliwaambia polisi kuwa alikuwa anaelekea Guangzhou ambao ni mji wa jimbo la Guangdong huko China.
Jack alipata jina aliposhika namba tatu kwenye Miss Ilala na kushiriki Miss Tanzania mwaka 2005/06. Pia uliuza nyago kwenye video ya mwanamuziki wa Bongo Fleva, Marehemu Albert Magwea ‘Ngwair’ iliyokwenda kwa jina la She Got A Gwain. Kuanzia hapo jina likawa kubwa na akawa mwanamitindo maarufu Bongo.
Ni katika kipindi hicho cha umaarufu akaolewa na mtoto wa aliyekuwa mwanasiasa mkongwe, Abdallah Fundikira, Abdulatif kabla ya jamaa huyo kutupwa nyuma ya nondo za mahabusu ya Keko, Dar akikabiliwa na msala wa

MWANA MZIKI P CAT ATAACHIA WIMBO WAKE MPYA MKOANI D'SALAAM


mwana mziki P CAT akiwa katika pozi jijini dar


Mwana mziki huyu atachia wimbo wake mpya kwa jina la  SWING,swing maana yake HOBI,au kitu mtu ancho pendelea kufanya mwanamziki huyo alisema "napenda kuwaambia mashabiki wangu na watu wote,fanya unachopenda, nami napenda mziki" kwa mujibu wa chanzo cha habari kimesema kua mwana mziki huyo ataachia Wimbo yake hiyo jijini Dar katika studio mbalimbali za radio kama vile MAGIC FM,TIMES FM CHOICE FM nanyingine nyingi msanii huyo ameongeza kuwa anawahidi mashabiki wake hatawangusha katika wimbo wenyewe na video yake itakua poa sana,
  kwa mujibu wa maneja wake MR Abdul m Abdallah  amesema  kama kuna mtu anatakumtumia msanii huyo anaruhusiwa kwa kuwa yuko huru kufanya kazi na mtu yeyote na anaweza kumtafuta kwa namba 0752041148/0687279136

THE FETTY GIRL







Alhamisi, 26 Desemba 2013

Hawa ndio wanamuziki watano matajiri zaidi wa muziki wa bongo fleva...


When it comes to money, Bongo music is one of the most lucrative but you’d never tell that listening to the artistes pour their hearts out for their loved ones. Bongo Flavour acts rake in the money in truck loads and they don’t spend it on bling only, they invest their money. Sylvia Ambani and Herieth Makwetta looked at some of the richest acts in Tanzania.

NASEEB ABDUL (DIAMOND)

He stayed in the shadows for long looking for a break but now that the limelight has been trained on him, he has proved that he belongs at the top of the music charts. He finally made a debut in 2009 with his hit song “Kamwambie”.

He is one of the most expensive musicians not just in Tanzania but the region and this does not seem to put promoters off as he is on the stage on a weekly basis. Want him for a show, you will have to pay him $4000 (Sh350,000). And that’s after a bargain.

This has enabled him to make a fortune for himself in a very short period of time. He owns mansions in Tanzania, acres of land, cars and shops.

JUDITH WAMBURA (LADY JAY DEE)

She started her music career at the end of the 1999. She is one of the most respected Tanzanian artistes and has remained humble through her success. She is very hard working and this has led her to accumulate a good fortune to her name.

Her garage pays homage to a Nissan Murano, a Toyota Coaster minibus, Toyota Prado among others. She of course can’t own all those and rent. She owns a mansion. She also invests heavily and owns a band by the name Machozi.

JOSEPH HAULE (PROFESSOR JAY)

He began his music career in 1990 with a group called the Hard Blasters. It is this band that started the music style known as ‘muziki wa kizazi kipya’. The artiste has acquired his wealth through the many shows he does internationally.

He owns a beachfront mansion which has an in-built studio, drives a modest Toyota Spacio but don’t let that fool you, it’s not that he can’t afford fuel because he makes good money from his music and owns several parcels of land and is also a serious investor.

JUMA NATURE (KIROBOTO)

He is one of the long timers who are still relevant in the music scene. He has been able to make a name for himself since his days in the male group artists TMK when he was under Mkubwa Fela. He later left and formed his own group called ‘Wanaume Halisi’.

He owns a fleet of taxis that operate in Dar es Salaam; he owns acres of land and a home.


AMBWENE YESAYA (AY)


He started his music career back in 2000 with the group East Coast. The group later split and he continued to do his solo music together with his close friend Hamisi Mwinjuma (Mwana FA). They are still close friends and have been friends for more than ten years.

AY likes to keep his personal life private and stays away as much as he can from the cameras. All the camera shyness may fool you but he is one of the richest artistes in Tanzania. He has derived his wealth from the many shows he does and the international events that pay him handsomely.

He has a collection of cars, a clothing line with his name and several boutiques.

He is the owner of Unity Entertainment Company which produces programmes like the famous ‘Mkasi’ which is broadcasted on East Africa Television. He recently did a collabo with Lil Romeo that got some good reception across the continent.

Source: Kenya’s The Nation via wavuti

Swali ni Je , inamaana hapa Tanzania Hakuna watu wa kuona Data Hizi mpaka Tufuate Kenya ndio watutazamie?

a

Jumanne, 12 Novemba 2013

WEMA NA PENNY WAFIKIA MUAFAKA WA PENZI LA DIAMOND.ADAI YUKO TAYARI KUCHANGIA PENZI.


Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha DTV, Peniela Mwingilwa ‘Penny’, ambaye ni mpenzi wa mkali wa Bon- go Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amesema yupo tayari kuchangia map- enzi na msichana mwingine yeyote ambaye atachukuliwa na mwanaume huyo anayem- penda.


Peniela Mwingilwa ‘Penny’.
Penny, chaguo la mama mzazi wa staa huyo wa kibao cha My Number One, amesema maneno hayo, yanayotafsiriwa kama yupo tayari kuchangia mapenzi na hasimu wake, Wema Sepetu ambaye amerejesha uhu- siano wake wa kimapenzi na mwimbaji huyo mpenda vidosho.“Ninampenda Diamond na sitaki kum- poteza. Nia yangu ni kumuona akiwa na furaha.

Kama Diamond anaona kuna msicha- na mwingine wa kutoka naye na kwake hilo linampa furaha, basi mimi sina matatizo kwa sababu ninataka awe na furaha, nitaendelea kuwa naye,” alisema Penny.

Kumekuwa na habari zisizo shaka kwamba Diamond na Wema wamerejesha uhusiano wao na hivi karibuni walitupia picha katika mitandao ya kijamii zilizowaonyesha wawili hao wakiwa katika mapozi ya kimahaba huko Ughaibuni.Ingawa bado Diamond anatoka na Penny, lakini kwa siku za karibuni amekuwa karibu zaidi na mrembo huyo aliyetwaa taji la Miss Tanzania mwaka 2006.

HICHI NDICHOO KISA KILICHO MFANYA JACQUELINE WOLPER KUBADILI DINI


Hatimaye mwanadada Jacqueline Wolper ameamua kuweka wazi kilichotokea mpaka kuamua kubadili Dini yake ya Uislamu na kurudi kwenye ukristo tena. Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii mwanadada huyu wa bongo movies ametoa ujumbe ufuatao kwa mashabiki wake.

“…mambo mashabiki zangu.sikua na njia nyingne yakulikwepa hili nanaamini kua kwa
wale mashabk zangu waislam amtomaind maana akuna mtu wakumsikiliza chin ya hanga zaidi yawazazi so imenipasa kurudi kanisani kwakauli yawazazi wangu.naamin kama aujaolewa ata uwe na miaka mingap bado unatakiwa kua chin ya imaya ya wazazi ata ukifa ujue unazikwaje na mimi ni binadam sijui saa wala dakika.muhm nikuwajuza nakuwaelewesha mashabik zangu stak maswal nawapenda wote…”

Hapo awali iliripotiwa kuwa mwanadada huyu ameamua kuwa mkristo tena baada ya penzi lake lililosababisha abadili dini na kuwa muislamu na jamaa aitwaye 'Dallas' kuvunjika hivi karibuni.

Swali ni je, atabadili dini tena akitokea mwingine wa dini aliyo tofauti na sasa?

HATIMAYE DIAMOND ACHAGUA MREMBO WA KUMUOA KATI WEMA AU PENNY, SOMA HAPA...!

Rais wa Wasafi Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’, juzikati alifunguka kuwa kwenye maisha yake ya ndoa atakayoingia siku chache zijazo, aliyekuwa mchumba wake wakamwagana na kurejeana hivi karibuni, Wema Sepetu asitegemee kuolewa naye.

Diamond ambaye ni staa wa Bongo Fleva aliyasema hayo mbele ya paparazi wetu Novemba 7, mwaka huu jijini Dar kufuatia kuulizwa anamchagua nani wa kumuoa kati ya Wema Sepetu na mchumba wake wa sasa, Penniel Mungilwa ‘Penny’.

Swali kwa Diamond liliibuka baada ya kuzagaa kwa tetesi kwenye mitandao ya kijamii kwamba yu mbioni kumvisha pete ya uchumba mmoja wa mademu zake.

Swali hilo lilimfanya Diamond afunguke kwa kusema kwamba anachokijua yeye na ambacho kipo kwenye mikakati yake, mke wake mtarajiwa ni Penny.

“Najua wengi wanahisi mimi ninaweza kuoa mwanamke zaidi ya mmoja kutokana na dini yangu kuruhusu lakini jambo hilo mimi silifikirii hata kidogo kwa kuwa kwenye maisha yangu nilishapanga nitaoa mke mmoja tu,” alisema Diamond.

Akaendelea: “Watu wanasema mengi juu yangu na Wema, wengi wao hawajui nafsi yangu inataka mwanamke yupi, ninachoweza kusema na watu wakasikia na kunielewa basi wajue kwamba Penny ndiye mke wangu, Wema asitegemee kuolewa na mimi.”

Diamond alikwenda mbele zaidi kwa kumwanika Penny kwamba ana sifa ya kuwa mke kwani ni mvumilivu sana na anaonesha upendo wa dhati kwake.

“Kwa maana hii basi hakuna mwanamke mwenye jina kubwa wala sura nzuri zaidi ya Penny ninayeweza kumwita mke wangu. Najua kila mtu ana namna yake ya kuchagua ampendaye, ndiyo maana utaona watu wanasema hili mara lile, lakini hawajui nafsi yangu inataka mwanamke wa aina gani,” alisema Diamond na kuongeza:

Kama kuna demu anayejipa matumaini hayo basi asitegemee hata siku moja kwa sababu kuoa kwangu kutazingatia mke mwema na si bora mke, Penny pekee ndiye mwenye sifa za kuwa mke wangu,” alisema Diamond.

Juzi Ijumaa Wikienda lilimpigia simu Penny ili kutaka kupata maoni yake kuhusu tamko la Diamond, lakini muda mrefu simu hiyo ilikuwa ikiita bila kupokelewa.

Baada ya kumkosa Penny, Ijumaa Wikienda lilimtwangia simu Wema, naye kama Penny, simu yake iliita mara kadhaa lakini haikupokelewa.

Tazama Mjengo Mpya(Nyumba) Anayojenga Diamond Platnum na Kusababisha Jana Usiku Mjadala Mkubwa

Kijana anayefanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz mambo si mabaya kwake baada ya kuonyesha mjengo wake mwingine wa hatari ambao bado upo katika ujenzi.


Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram,Diamond jana ame-share picha ya nyumba hiyo na chini akatia neno..Shuka nayo.

''Toa kitu weka kitu...! Ndio tulivyo funzwa...stareh tunawaachia wajanja wa mji...

Haijajulikana mjengo huu uko maeneo gani wala umegharimu kiasi gani ila inaendelea kudhihirisha mafanikio anayoendelea kuyapata Diamond.

Jumatatu, 11 Novemba 2013

KENYA , Celebrated American Hip-HopArtiste Hangs Out With Kenyan Cops



KENYA . After Showing You Boobs in his Video,He Brings You The Same Boobs on A Condom Advert (Photos)


BURUNDI. Bobona yateramishije abanyabujumbura n’ibiteramo bibiri Yanditswe taliki ya 11-11-2013





Umuririmvyi Bobona yaraye arangije urukurikirane rw’ibiteramo 2 vyo kumenyekanisha “IKIRANGAMISI”, urukurikirane rw’indirimbo yasohoye mu 2012. Ku mugoroba w’uwa gatanu Bobona yakoze igiteramo ca mbere mu kigo c’abafaransa. Ku w’Imana akomeza kuryohera abanyabujumbura mu giteramo ca kabiri mu kigo c’urwaruka co mu Kamenge.
JPEG - 46.9 ko
Bobona mu giteramo co kuri IFB
Mu ntumbero yo kumenyekanisha urukurikirane rwiwe “ IKIRANGAMISI ”, Nikuze Bonfils azwi cane kw’izina Bobona yararemesheje ibiteramo bibiri ku mpera y’indwi twaraye turangije. Igiteramo ca mbere kikaba cabaye ku mugoroba wo ku musi wa gatanu. Aho hakaba hari mu kigo c’abafaransa co mu Burundi (IFB). Mu kibanza cagenewe ibiteramo, Bobona kumwe n’umurwi wiwe ABAHIGI baravugije indirimbo 12 zigize urukurikirane “ IKIRANGAMISI ” baraho barashima . Umudiho w’ikirundi ucanze n’umudiho mvamakungu wabaye umuziki umwe uryohoye wavugijwe n’Abahigi. Bobona yikora mu gahogo, Willy kumwe n’umwigeme Chance baritabiriza, ikirori kirarema. Icibonekeje kuri uwo mugoroba n’uko abitavye ico giteramo batari benshi umuntu agereranije n’ibiteramo bisanzwe bibara muri ico kigo. Uwo twaganiriye, yari yitavye ico giteramo we yagize ati : “Nuko abantu bataramumenya”.
Bobona mu giteramo co mu kigo c'urwaruka co mu Kamenge
Ku munsi w’Imana, ku muhingamo, mu kigo c’urwaruka co mu Kamenge, Bobona n’umurwi ABAHIGI bari bitabwe n’abantu benshi. Uri abato,uri abakuze ndetse n’abahumure bakibasha bari bishikiye mu kibanza cabereyemwo ico giteramo. Ku munwa ya bamwe bamwe umuntu yarabona, akanumva ko izo ndirimbo z’urukurikirane “ IKIRANGAMISI ” atari nshasha kuri bose. Igiteramo kigeze hagati, igicu ca rakuvye, akavura karatonyanga, ariko nticabujije ko abitavye ico giteramo baguma muri ico kibanza. Eka Bobona n’umurwi wiwe ntibahagaritse gushikiriza abaraho agakemanyi bari babatekerereye. Kanatsinda, mu vyo umuziki, Bobona yakuriye muri ico kigo c’urwaruka co mu Kamenge.
JPEG - 44.2 ko
Bobona n’umurwi ABAHIGI kuri IFB
Muri ivyo biteramo vyompi, Bobona afadikanije n’umuririmvyikazi yitwa Chance, bararirimvye indirimbo “Gaterantimba”. Iyo ndirimbo izwe cane mu myaka y’1980. Ni indirimbo yakunzwe ico gihe ndetse n’ubu vyaboneka ko igikunzwe cane. Bobona akaba yaramenyesheje ko vuba cane, iyo ndirimbo agiye kuyisubiramwo mu nzu y’ubuhinyanyuzi. Aho akaba yari inyuma yaho amenyeshereje ko uruhusha rwo kuyisubiramwo yaruronse. Bobona akaba yarashimye cane uko ivyo biteramo vyagenze.
JPEG - 109.4 ko
Chance na Bobona bariko baririmba indirimbo"Gaterantimba"
JPEG - 31.1 ko
Willy na Chance