Ijumaa, 5 Septemba 2014

Gardner G Habash Azungumzia Tetesi za Kuachana na Lady Jay Dee


Gardner G Habash Azungumzia Tetesi za Kuachana na Lady Jay Dee na Chanzo Chake, 'Hatuna Tatizo'Gardner G Habash Azungumzia Tetesi za Kuachana na Lady Jay Dee na Chanzo Chake, 'Hatuna Tatizo'
Gardner G Habash amekanusha taarifa zilizokuwa zimesambazwa kwenye mitandao kuwa yeye na mkewe Lady Jay Dee wako kwenye wakati mgumu wa ndoa yao. Akizungumza katika Exclusive Friday ya 100.5 Times Fm, Gardner ameeleza kuwa hizo ni taarifa zisizo za …

Alhamisi, 17 Julai 2014

Timaya wa Nigeria asema alitumia zaidi ya milioni 200 kukamilisha collabo na Sean Paul.

Timaya wa Nigeria asema alitumia zaidi ya milioni 200 kukamilisha collabo na Sean Paul


Msanii wa Nigeria, Timaya ameeleza kuwa alitumia zaidi ya N20m (zaidi ya milioni 200 za Tanzania) kukamilisha collabo aliyofanya na Sean Paul katika remix ya wimbo wake ‘Bum Bum’.
Msanii huyo amesema kiasi hicho cha pesa kilitumika katika kutengeneza audi na video ya wimbo huo.
Pamoja na kutumia kiasi hicho cha pesa, ilimchukua miezi 6 ya mipango hadi kukamilisha zoezi zima.
 “Nilitumia zaidi ya N20m katika wimbo huo na video. Ilinicost kiasi hicho kumleta Sean Paul na watu wake kutoka Jamaica, sitanii.” Timaya aliiambia Toolz.
Posted by

Warembo Mmeipata Hii,Kope za bandia zinaweza kusababisha upofu.

Warembo: Kope za bandia zinaweza kusababisha upofu

Mapokeo ya urembo wa kisasa katika nchi zinazoendelea ni sehemu ya mchango wa urembo na mvuto tunaouona kwa baadhi ya wasichana na wanawake ambao kwa hakika unaleta hamasa ya kuangalia.
 
Hata hivyo, urembo huu huja na hatari zake ambazo wengi wanaweza kuzichukulia poa kwa kuwa hazitokei kwa haraka ama katika muda unaoweza kutolewa ushahidi kwa sasa.
Moja kati ya urembo unaofanywa na wanawake wengi wa kisasa ni kuweka kope za bandia juu ya kope halisi, kweli wengi wanakuwa na mvuto wa aina yake wakikuangalia hasa mtoto wa kiume. Lakini hatari inayotokana na urembo huo ni kubwa zaidi ya matokeo ya muda mfupi.
Wataalam wanaeleza kuwa kope za bandia ambazo hugundishwa kwa kutumia gundi ya nywele inayotumika kugundisha nywele bandia kwa wenye vipara inaweza kuwa chanzo cha upofu wa mtumiaji.
Gundi hiyo hupukutika taratibu sana kiasi cha kutoshtukiwa na kuelekea kwenye mboni ya jicho ambayo ndio moyo wa ‘kuona’. Endapo mtumiaji ataendelea kwa muda mrefu kutumia kope hizi bandia anaweza kujikuta anakuwa na tatizo la kuona ama hata upofu wa haraka katika maisha yake ya baadae.
Hata hivyo, hatari kubwa imeelekezwa kwa maduka ama vibanda vinatumia vifaa vya bei nafuu ikiwemo gundi inayotumika. Ukwepaji wa gharama ama kutokuwa na uwezo wa kutumia gharama kubwa kunamuingiza mrembo kwenye hatari zaidi.
Kuwa mwangalifu, urembo usiwe chanzo cha kuhatarisha afya yako. Kumbuka Afya ni uhai wa mwili wako.
Posted by

Jumatano, 25 Juni 2014

ANGALIA : PICHA KAZAA MABINTI WAKIWA KATIKA MAHABA YA WAO KWA WAO



Hizi tumezipata facebook wakiwa wamepost kwenye kurasa zao, ina maana hii hali ipo kwa dada zetu, jamani wanaume wameisha au ni nini????????

ZI







DOWNLOAD: WIMBO MPYA WA AFANDE SELE! AMERUSHA VIJEMBE VINGI! KIMOJA KWA KTMA!

 


Wimbo unaitwa "miaka kumi ya ufamle" Bofya hapa kusikiliza au/au kudownload wimbo huo http://www.hulkshare.com/hassbaby/afande-selle-miaka-kumi

ANGALIA: Watoto wa Will Smith hulala na nyoka 10 chumbani, wengine hawajafungwa.

Watoto wa Will na Jada Smith, Willow na Jaden wana mengi ya ndani ambayo wengi walikuwa hawayafahamu.
Kwa mujibu wa US Weekly, Willow Smith mwenye umri wa miaka 13 hulala na nyoka kumi chumbani kwake na baadhi yao hawajafungwa kabisa!

Lakini sio pekee ambaye ana mapenzi na nyoka hao, kaka yake Jaden pia huwachukulia nyoka wa dada yake kama wapenzi wake kwa kuwa huwa wanaingia chumbani kwake na kulala nae kitandani huku wakijizungusha mwilini kwake!
Willow ameshawazoea nyoka hao kwa kuwa alianza kuishi na nyoka wa kwanza mwaka 2008 wakati akiwa na umri wa miaka 7 tu.
Jada Pinkett aliwahi kuliambia jarida la Rebok mwaka jana kuwa yeye anawapenda sana nyoka na mwanae Willow pia amekuwa anawapenda daima.
“Anaweza kwenda kwenye store ya nyoka akachukua nyoka mmoja na akajizungushia. Sikuwahi kumgusa nyoka hapo kabla, na nilikuwa siwezi kuwashika…..nimekuwa nampenda Willow daima tangu mwanzo. Nilimwambia Willow, ‘umemfanyia mama msaada mkubwa. Umenisaidia kushinda uoga’..”

MILLARD AYO NA WEMA SEPETU!! MHHH!!!!!!!!!

collage

Hakuna asiyejua kwamba Millard Ayo ni
Mtangazaji (Clouds Fm) anayependwa sana siku hizi kwa kukiboresha na kukipamba kipindi chake kinachokwenda kwa jina la "AMPLIFAYA" huku mwenyewe akijiita "MR. COUNT DOWN" ambapo huwa anatoa stori kumi za moto kila siku.

Mtangazaji huyo anawania vipengele tofauti vya Tuzo za Watu na ni matumaini ya wengi jamaa atanyakua Tuzo hizo. 

Hivi karibuni Wema Sepetu amempigia debe au kwa maneno mengine amewashawishi mashabiki zake kumpigia kura zaidi Millard Ayo ili aweze kuibuka kidedea katika kura hizo. Bila kisilani chochote Millard Ayo alisoma hewani ujumbe huo katika kipindi chake ikiwa ni moja ya kipengere ndani ya kipindi chake ambacho kinahusisha kuzirusha jumbe mbalimbali alizotumiwa kupitia mitandao yake ya kijamii, na moja ya ujumbe aliousoma na kushukuru sana ni kutoka kwa mrembo huyu wa

DOWNLOAD: MEGAMIX DANCE CLUB V2 . MEGAMIX 2014 . 60 MIN REMIX 2014

Mwimbaji wa kike wa Nigeria ajitoa kwa Boko Haram ili wasichana 200 waachwe huru.

 Mwimbaji wa kike wa Nigeria ajitoa kwa Boko Haram ili wasichana 200 waachwe huru Mwimbaji wa kike wa Nigeria mwenye umri wa miaka 23 anaefahamika kwa jina la Adokiye ameeleza anachofikiria kuhusu wasichana zaidi ya 200 wanaoshikiliwa na kundi la Boko Haram.

Mwimbaji huyo ambaye anafahamika sana kwa comments za zinazotengeneza mijadala hudai kuwa yeye ni bikira.
Mwisoni mwa wiki hii ameiambia Showtime kuwa anajitoa yeye kwa kundi la Boko Haram kama inawezekana wao kuwaachia wasichana wanaoshikiliwa na kundi hilo.
“Sasa hivi ni saa tanto usiku, je unajua ninachofikiria? Wale wasichana wadogo, wapi walipo na nini kinawatokea muda huu. Sio sawa. Ni wadogo sana. Nawishi ningeweza kujitoa mimi kubadilishana nao. Wana umri kati ya miaka 12 hadi 15. Mimi ni mkubwa na nimeshazoea maisha zaidi yao. Hata kama wanaume 10 hadi kumi na mbili watanichukua kwa usiku mmoja, sijali. Nachojali waachie hao wasichana warudi kwa wazazi wao.”

Jumanne, 24 Juni 2014

Jumapili, 23 Februari 2014

PLAY ONE PARTY

AY ft.DELA~ASANTE""new song 2014

AY ft.DELA~ASANTE""new song 2014

Mh.TEMBA ft. KASSIM MGANGA~lAVA LAVA new song 2014

IZZO B~TUMOGELE"""new song 2014

New Tanzanian music 2014 Iqu Junior Ft Mr Blue Busu Lako

yuong genius ft Bob Junior Baba Majumba New Tanzanian music 2014

yuong genius ft Bob Junior Baba Majumba New Tanzanian music 2014

ALAWI JR FT RICH MAVOKO - LOVE MATATA (OFFICIAL VIDEO)

ALAWI JR FT RICH MAVOKO - LOVE MATATA (OFFICIAL VIDEO)

ALAWI JR FT RICH MAVOKO - LOVE MATATA (OFFICIAL VIDEO)

ALAWI JR FT RICH MAVOKO - LOVE MATATA (OFFICIAL VIDEO)

When I Found You - Angel | New Ugandan Music 2014 - DJ Erycom | www.djer...

When I Found You - Angel | New Ugandan Music 2014 - DJ Erycom | www.djer...

Mased ft rich mavoko ningejuanew

Disastar ft Rich Mavoko - Sale Sale. (Official Video)

kitu kipya toka Katambala - Irene Ntale Ray Signature | New Ugandan Music 2014 - DJ Eryc...

New Mr.Z ft Raymond Ramnarine and Skinny Fabulous - CARNIVAL "2014 Release"

StarBoy Ft Wizkid & Shaydee - Number One Lover (OFFICIAL VERSION 2014)

P-Square - Taste The Money (Testimony) (NEW OFFICIAL 2014)

Jumanne, 4 Februari 2014

Kigwendu kugombea Ubunge Mwaka 2015.

Msanii wa filamu za kuchekesha nchini,Rashid Mwinshehe aka Kigwendu amefunguka na kusema kuwa yupo katika mipango ya kuwania nafasi ya ubunge wakati wa Uchaguzi Mkuu wa nchi utakaofanyika 2015.
Huu ndio ujumbe wake.
...See more

Jumamosi, 1 Februari 2014

Mabuja - G Bidondo and R Flow "New Burundi Music 2014 on www.djerycom.com

Ruremesha "Mbwira, Black, Mikombozi, Bidondo - New Burundi Music 2014 on...

Social Mula - Big Fizzo & Hansamge "New Burundi Music 2014 - DJ Erycom w...

Dr Claude & TMax - Macho 100 | New Burundi Music 2014 | DJ Erycom | www....

Sinzigera Nkubabaza - Bienv Fizzo | New Burundi Music 2014 | DJ Erycom |...

video mpya ya Chege - Chapa Nyingine ( BONGO FLAVA - RADIO MBAO)

video mpya ya Chege - Chapa Nyingine ( BONGO FLAVA - RADIO MBAO)

Beyonce & Jay Z performing 'Drunk in Love' at The Grammy's 2014 HD

iyo kwajiliako,bonge la kolabo,Shakira - Can't Remember to Forget You ft. Rihanna

cheki bonge la video toka kwa Jennifer Lopez - Same Girl

SIKIA KAZI MPYA KOTA KWA Jennifer Lopez - Girls (Official video) [Lyrics]

Jumapili, 26 Januari 2014

PREZZO IN YET ANOTHER “NOT SO LUCKY” SITUATION WITH LOVE


Prezzowifee
Love is an amazing thing. When it is real, it is even better. However, the thing is, in recent years and our time, it is just as hard as to find a river in a dessert to find the real love. If anyone has been helpful for the rest of us to make such conclusion easier, it is the celebrities. For example we now have the love [or not so love] saga between a Tanzanian beauty,Chagga Barbie[let's call her that way] with a popular Kenyan Rapper,Prezzo.
Theirs was the cloud 9 love that got attention when up there and now getting even different type of attention when it is nowhere to be seen. Something happened and most of us wouldn’t know what it is for sure. But long story short, THEY ARE TERRIBLY breaking from each other. It has gone public[very public] and probably on another love story versus not so good uses of social networks. Theirs is breaking on Instagram and it is a public affair.
Now,as you probably know,of late Prezzo hasn’t been so lucky with chicks. He gets it and then blows it like how an excited kid blows his birthday bash balloons. I am not saying it is always his fault[how would I even know that] but of course him being “Prezzo”, he gotta take the hardest punches. For one, he loves Tanzanian sweethearts. Within a year probably, he has been a punching bag with not one but two[and who knows if there are others who have stayed away from the media radar].
While the past “Love from the Land Of Kilimanjaro and Zanzibar” didn’t explode on social networks[not too much] this one seems to be above and beyond. It is not, therefore,surprising that it is drawing attention to fans,gossipers etc. It is personal.
I don’t need to write a lot. HERE IS THE GLIMPSE OF WHAT IS GOING DOWN.

You may also like -

About BongoCelebrity


msangibcKaribu ndani ya BongoCelebrity. Shukrani kwa kututembelea.Hii ni tovuti/blog ambayo inaandika kuhusu watu mashuhuri au maarufu wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Tunaandika na kukupa wewe msomaji nafasi ya kujadili habari za watu mashuhuri wa zamani na wa sasa hivi. Nia ya msingi ni kujenga na sio kubomoa.
Tupende tusipende, maisha ya watu maarufu (celebrities) yana mvuto mkubwa kwa jamii.Iwe ni mwanasiasa, mwanamuziki,msakata kabumbu,mchekeshaji,mcheza sinema,mpiga simu maarufu redioni,msanii wa ngoma za asili,za kisasa,mtangazaji maarufu wa tv au redio,mtu mwenye umbo la aina yake,balozi nk wote kwa pamoja huwa ni wenye mvuto achilia mbali ushawishi fulani katika jamii. Inasemekana jamii isiyo na watu wake mashuhuri, maarufu,alwatani nk ni kama jamii isiyo hai.Tukisikia habari zao huwa mara nyingi tunataka kujua zaidi.Haina maana kwamba hatuna mambo mengine muhimu zaidi ya kufanya,la hasha.Ni hulka ya ubinadamu tu. Isitoshe, jamii inaweza kujifunza mengi sana kupitia mwangaza wa maisha na mienendo ya watu maarufu/ mashuhuri/celebrities.
Kwa kuzingatia sababu tulizozitaja hapo juu ndio maana tumejikita katika kuandika habari za watu hao maarufu. Hapa ndio chanzo cha habari motomoto, mahojiano, habari za kina, matoleo mapya ya albamu za muziki, picha kutoka kwa wapiga picha wetu maarufu za matukio, mikasa nk, habari za chochote kile kipya au cha zamani ambacho tusingependa kisahaulike ndani ya jamii yetu nk.
Isitoshe hapa ndipo vipaji vipya vinapotambulishwa, celebrities wapya wanapoanzia. Kwa maana hiyo ukikuta amewekwa mtu ambaye unadhani bado hana hadhi ya ki-celebrity usishangae,ndio anaanza safari yake.
Kwa kuzingatia ukweli kwamba lugha maarufu zaidi ulimwenguni inabakia kuwa kiingereza, BongoCelebrity inatumia kiingereza na kiswahili kama lugha zake maalumu.Tunaamini ni muhimu na pia ni jukumu letu, kuienzi, kuiendeleza na kuikuza lugha yetu ya Kiswahili. Lakini kwa namna yoyote ile Kiswahili ndicho kinapewa kipaumbele zaidi.
Kama una habari za mtu maarufu au wewe mwenyewe ni mtu maarufu na unalo jambo ambalo ungependa liwafikie watanzania na wa-Afrika Mashariki kwa ujumla kupitia tovuti/blog hii,usisite kuwasiliana nasi kwa kupitia; bongocelebrity at gmail.com au info (at) bongocelebrity.com.Unaweza pia kutumia fomu iliyopo hapo chini.
Maoni ya aina zote yanakaribishwa ingawa matumizi ya lugha chafu hatuyavumilii. Yawezekana kabisa kutoa mchango wako au maoni yako bila kutumia lugha zenye matusi.
Pia tunakaribisha matangazo.Kwa maulizo ya bei au gharama za kutangaza biashara au matukio wasiliana nasi pia kwa kutumia fomu hiyo hiyo hapo chini.Mnakaribishwa!
Karibuni sana.
Jeff Msangi(pichani)-Mhariri Mkuu
&
BongoCelebrity Team.

Be Sociable, Share!

PROFESSOR JAY & DIAMOND IN A COLLABORATION THAT WE ARE ALL WAITING FOR

Diamond na Professor Jay
You can’t deny [without being baptized a "hater"] that Diamond Platnumz and Professor Jay are two among top artists in our land right now. While Diamond has emerged as one of the best  in recent years, Professor Jay is already considered to be the “legend”. His journey started when parents and elders still had a different attitude to what was coming up as “music for the newer generation”. They would only listen as spies trying to figure out what is going on in their kids’ minds. His hit first single, Chemsha Bongo, changed that stand off between parents and children [youth] It opened doors and minds. The rest is history.
To make matters even hotter, in the year that we just finished [2013] Professor made it clear that he still got what it takes to remain Professor. From sharing the stage with Nigeria’s duo P-Square to a country-wide tour with Kili stars to collaboration with Lady JayDee [ Joto Hasira] etc, he still mean business. Diamond, on the other hand, had the year that is probably every artist’s dream. From hit singles such as Number One to international collaboration etc, Diamond gave fans and music lovers a run for their money and time.
Now,when you hear that these two are in studio for a collaboration, you are assured of something unique; talents smoothed up with experience. As if that is not enough, they are in studio with legendary producer,P-Funk Majani at Bongo Records. P-Funk is one of the producers I truly love and respect. Over the past and present years, mee and him have spent hours and hours at his studio strategizing, listening to music,watching music etc.
Sometimes,I would just sit quiet and watch him with admiration how he does his work with passion and rare professionalism among many producers I have had a chance to meet and watch them at work. Majani loves music and he takes Bongo Fleva/Hip Hop to his heart. He dreams and fight to see the day whereby all artists [him included] will truly benefit from the hard work and long hours they put in the studios and stages.
Back to Professor Jay and Diamond: They are working for Prof’s upcoming single titled Kipi Sijasikia. Professor, after almost 15 years plus in as a performing artist must have seen and heard a lot. You can’t argue much with experience. No wonder we are always reminded to respect our elders. He is now ready to share his thoughts about “You Heard and Ya Seen”  Majani shared the below clip.Stay tuned.

You may also like -

Nani mkali zaidi kwenye uigizaji kati ya hawa watatu???


Photo: Nani mkali zaidi kwenye uigizaji kati ya hawa watatu???

New Tanzanian music 2014 Inspector Haroun ft Nandy Sharubu za Babu

New Tanzanian music 2014 Dullah Man ft Blue & Darasa Mambo Yaendelee

Nimevurugwa SNURA New Tanzanian music 2014

Kama Unanipenda Kajoli Masai ft Queen A New Swahili music 2014

No GoodBye - Washington East African Rebels ft Radio and Weasel New Ugan...

New Tanzanian music 2014 Mchizi Mox akaTaicoon Ali Piga Makofi

New Tanzanian music 2014 Christian Bella & Malaika Band Nakuhitaji

Kimikimiyee Tonnee Impaqt ft Chay T New Kenyan Gospel music 2014

African Girl Zouk Vj Oj New Ugandan music Video 2014 HD DjDinTV

Arampagije by Serge New Rwandan music 2014

Eminem New Song 2014

Sean Paul Ft. Akon - She Wants Sex (New Music 2014)

Doe B - Why Ft. TI [ new rap song 2014 ]

Champion Jackie Chandiru New Ugandan music 2014 DjDinTV

Champion Jackie Chandiru New Ugandan music 2014 DjDinTV

Drake - We Made It ft. Soulja Boy (Official) NEW 2014!!

kitu kipya cha Kendrick Lamar ft 50 cent & Nas (2014) "True" (Explicit)

kitu kipya cha Shakira - Can't Remember To Forget You ft. Rihanna (Official Video)

"Tere Naina Maar Hi Daalenge" Jai Ho Full Video Song (2014) | ft' Salman...

Bipasha Basu in ‘No Entry’ sequel

bipashabasumoviestowatchoutforin20144_1389014173
The hot sensuous Bipasha Basu who had set the screen on fire with her sexy temptress role in the 2005 hit film ‘No Entry’. Well the recent news on her is that director Anees Bazmee is reconsidering her to reprise the role of the sexy temptress in a different avatar for the films sequel that will start rolling by mid year.


According to sources Anees Bazmee said, She (Bips) played a call girl, but that character was over and the angle of an extra-marital affair was sorted, however I would love to work with Bipasha again. I am trying to somehow incorporate her in the script.”
As per Anees he will be incorporating ten actresses playing key roles in the sequel. However, he is not too sure about repeating  Lara Dutta, Esha Deol and Celina Jaitly, all of who are now married.
Well it would be interesting to see Bips once again . And if her role is somewhat like the one she had in ‘No Entry’, then her fans will be truly bowled over once again.

In Pictures – Shocking Celebrity Deaths of Bollywood


1380986524-1616
Picture Courtesy – Manav Manglani

DR. JOSE Chameleone ft DAVIDO 2014 Osh Entertainment TV

DR. JOSE Chameleone ft DAVIDO 2014 Osh Entertainment TV

Jumapili, 19 Januari 2014

Usher - Climax

Usher - Climax

Usher - Lemme See ft. Rick Ross

MATONYA FT BELLA & NEY LEE - AGWELINA [www.DarTalk.com]

Maneno matamu by LOLILO ft ALIKIBA

Makomando - Kibabababa (Official Video)

Lulu akiimba wimbo wa Lady Jaydee Yahaya

diamond platnumz ft majuto UKIMUONA

Recho - Mwali Kigego (Audio)

Recho UMEPENDEZA Official Video - New Tanzanian Music 2013 - DJ Erycom

Kiingereza OCHU SHEGGY ft ANETH New Tanzanian music 2013 BONGO FLAVA (+p...

Ijumaa, 17 Januari 2014

Mikie Wine Lucia New Uganda music Video 2014 (+playlist)

Folomina by Mico New Rwandan music 2014 (+playlist)

N D I by Sandra Miraj ft Babra New Rwandan music 2014 (+playlist)

Drake - Started From The Bottom (Explicit) (+playlist)

Dogo A - Christa

Jay Z’s Roc Nation Sports Signs Yankees Pitcher CC Sabathia


  • advertisement
  • Jay Z’s sports agency has added New York Yankees pitcher CC Sabathia to join former teammate Robinson Cano on its growing roster.
    Roc Nation Sports says the 33-year-old left-hander agreed to a representation deal Thursday, according to The Hollywood Reporter. The pitcher had been represented by Legacy Agency’s group, which includes Brian Peters, Greg Genske and Scott Parker.
    Sabathia is signed through 2016 at salaries of $23 million in each of the next two seasons and $25 million in 2016. The Yankees hold a $25 million option for 2017 with a $5 million buyout.
    He was 14-13 last year with a career-worst 4.78 ERA.
    1 2 Next pa

    Did Beyonce Steal Her Biggest Idea From Kanye West?


  • advertisement
  • Gary With Da Tea is reporting Kanye West is pissed at Beyonce. Why? Because she supposedly stole her most successful idea from him. Listen to Gary’s Tea to find out exactly which idea Kanye is claiming she took from him and how this might affect his relationship with Jay Z!
    Get the latest from Gary’s Tea here and listen LIVE at 7:30 am & 8:30 am EST on “The Rickey Smiley Morning Show!


    Jumatano, 15 Januari 2014