Jumanne, 12 Novemba 2013

WEMA NA PENNY WAFIKIA MUAFAKA WA PENZI LA DIAMOND.ADAI YUKO TAYARI KUCHANGIA PENZI.


Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha DTV, Peniela Mwingilwa ‘Penny’, ambaye ni mpenzi wa mkali wa Bon- go Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amesema yupo tayari kuchangia map- enzi na msichana mwingine yeyote ambaye atachukuliwa na mwanaume huyo anayem- penda.


Peniela Mwingilwa ‘Penny’.
Penny, chaguo la mama mzazi wa staa huyo wa kibao cha My Number One, amesema maneno hayo, yanayotafsiriwa kama yupo tayari kuchangia mapenzi na hasimu wake, Wema Sepetu ambaye amerejesha uhu- siano wake wa kimapenzi na mwimbaji huyo mpenda vidosho.“Ninampenda Diamond na sitaki kum- poteza. Nia yangu ni kumuona akiwa na furaha.

Kama Diamond anaona kuna msicha- na mwingine wa kutoka naye na kwake hilo linampa furaha, basi mimi sina matatizo kwa sababu ninataka awe na furaha, nitaendelea kuwa naye,” alisema Penny.

Kumekuwa na habari zisizo shaka kwamba Diamond na Wema wamerejesha uhusiano wao na hivi karibuni walitupia picha katika mitandao ya kijamii zilizowaonyesha wawili hao wakiwa katika mapozi ya kimahaba huko Ughaibuni.Ingawa bado Diamond anatoka na Penny, lakini kwa siku za karibuni amekuwa karibu zaidi na mrembo huyo aliyetwaa taji la Miss Tanzania mwaka 2006.

HICHI NDICHOO KISA KILICHO MFANYA JACQUELINE WOLPER KUBADILI DINI


Hatimaye mwanadada Jacqueline Wolper ameamua kuweka wazi kilichotokea mpaka kuamua kubadili Dini yake ya Uislamu na kurudi kwenye ukristo tena. Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii mwanadada huyu wa bongo movies ametoa ujumbe ufuatao kwa mashabiki wake.

“…mambo mashabiki zangu.sikua na njia nyingne yakulikwepa hili nanaamini kua kwa
wale mashabk zangu waislam amtomaind maana akuna mtu wakumsikiliza chin ya hanga zaidi yawazazi so imenipasa kurudi kanisani kwakauli yawazazi wangu.naamin kama aujaolewa ata uwe na miaka mingap bado unatakiwa kua chin ya imaya ya wazazi ata ukifa ujue unazikwaje na mimi ni binadam sijui saa wala dakika.muhm nikuwajuza nakuwaelewesha mashabik zangu stak maswal nawapenda wote…”

Hapo awali iliripotiwa kuwa mwanadada huyu ameamua kuwa mkristo tena baada ya penzi lake lililosababisha abadili dini na kuwa muislamu na jamaa aitwaye 'Dallas' kuvunjika hivi karibuni.

Swali ni je, atabadili dini tena akitokea mwingine wa dini aliyo tofauti na sasa?

HATIMAYE DIAMOND ACHAGUA MREMBO WA KUMUOA KATI WEMA AU PENNY, SOMA HAPA...!

Rais wa Wasafi Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’, juzikati alifunguka kuwa kwenye maisha yake ya ndoa atakayoingia siku chache zijazo, aliyekuwa mchumba wake wakamwagana na kurejeana hivi karibuni, Wema Sepetu asitegemee kuolewa naye.

Diamond ambaye ni staa wa Bongo Fleva aliyasema hayo mbele ya paparazi wetu Novemba 7, mwaka huu jijini Dar kufuatia kuulizwa anamchagua nani wa kumuoa kati ya Wema Sepetu na mchumba wake wa sasa, Penniel Mungilwa ‘Penny’.

Swali kwa Diamond liliibuka baada ya kuzagaa kwa tetesi kwenye mitandao ya kijamii kwamba yu mbioni kumvisha pete ya uchumba mmoja wa mademu zake.

Swali hilo lilimfanya Diamond afunguke kwa kusema kwamba anachokijua yeye na ambacho kipo kwenye mikakati yake, mke wake mtarajiwa ni Penny.

“Najua wengi wanahisi mimi ninaweza kuoa mwanamke zaidi ya mmoja kutokana na dini yangu kuruhusu lakini jambo hilo mimi silifikirii hata kidogo kwa kuwa kwenye maisha yangu nilishapanga nitaoa mke mmoja tu,” alisema Diamond.

Akaendelea: “Watu wanasema mengi juu yangu na Wema, wengi wao hawajui nafsi yangu inataka mwanamke yupi, ninachoweza kusema na watu wakasikia na kunielewa basi wajue kwamba Penny ndiye mke wangu, Wema asitegemee kuolewa na mimi.”

Diamond alikwenda mbele zaidi kwa kumwanika Penny kwamba ana sifa ya kuwa mke kwani ni mvumilivu sana na anaonesha upendo wa dhati kwake.

“Kwa maana hii basi hakuna mwanamke mwenye jina kubwa wala sura nzuri zaidi ya Penny ninayeweza kumwita mke wangu. Najua kila mtu ana namna yake ya kuchagua ampendaye, ndiyo maana utaona watu wanasema hili mara lile, lakini hawajui nafsi yangu inataka mwanamke wa aina gani,” alisema Diamond na kuongeza:

Kama kuna demu anayejipa matumaini hayo basi asitegemee hata siku moja kwa sababu kuoa kwangu kutazingatia mke mwema na si bora mke, Penny pekee ndiye mwenye sifa za kuwa mke wangu,” alisema Diamond.

Juzi Ijumaa Wikienda lilimpigia simu Penny ili kutaka kupata maoni yake kuhusu tamko la Diamond, lakini muda mrefu simu hiyo ilikuwa ikiita bila kupokelewa.

Baada ya kumkosa Penny, Ijumaa Wikienda lilimtwangia simu Wema, naye kama Penny, simu yake iliita mara kadhaa lakini haikupokelewa.

Tazama Mjengo Mpya(Nyumba) Anayojenga Diamond Platnum na Kusababisha Jana Usiku Mjadala Mkubwa

Kijana anayefanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz mambo si mabaya kwake baada ya kuonyesha mjengo wake mwingine wa hatari ambao bado upo katika ujenzi.


Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram,Diamond jana ame-share picha ya nyumba hiyo na chini akatia neno..Shuka nayo.

''Toa kitu weka kitu...! Ndio tulivyo funzwa...stareh tunawaachia wajanja wa mji...

Haijajulikana mjengo huu uko maeneo gani wala umegharimu kiasi gani ila inaendelea kudhihirisha mafanikio anayoendelea kuyapata Diamond.

Jumatatu, 11 Novemba 2013

KENYA , Celebrated American Hip-HopArtiste Hangs Out With Kenyan Cops



KENYA . After Showing You Boobs in his Video,He Brings You The Same Boobs on A Condom Advert (Photos)


BURUNDI. Bobona yateramishije abanyabujumbura n’ibiteramo bibiri Yanditswe taliki ya 11-11-2013





Umuririmvyi Bobona yaraye arangije urukurikirane rw’ibiteramo 2 vyo kumenyekanisha “IKIRANGAMISI”, urukurikirane rw’indirimbo yasohoye mu 2012. Ku mugoroba w’uwa gatanu Bobona yakoze igiteramo ca mbere mu kigo c’abafaransa. Ku w’Imana akomeza kuryohera abanyabujumbura mu giteramo ca kabiri mu kigo c’urwaruka co mu Kamenge.
JPEG - 46.9 ko
Bobona mu giteramo co kuri IFB
Mu ntumbero yo kumenyekanisha urukurikirane rwiwe “ IKIRANGAMISI ”, Nikuze Bonfils azwi cane kw’izina Bobona yararemesheje ibiteramo bibiri ku mpera y’indwi twaraye turangije. Igiteramo ca mbere kikaba cabaye ku mugoroba wo ku musi wa gatanu. Aho hakaba hari mu kigo c’abafaransa co mu Burundi (IFB). Mu kibanza cagenewe ibiteramo, Bobona kumwe n’umurwi wiwe ABAHIGI baravugije indirimbo 12 zigize urukurikirane “ IKIRANGAMISI ” baraho barashima . Umudiho w’ikirundi ucanze n’umudiho mvamakungu wabaye umuziki umwe uryohoye wavugijwe n’Abahigi. Bobona yikora mu gahogo, Willy kumwe n’umwigeme Chance baritabiriza, ikirori kirarema. Icibonekeje kuri uwo mugoroba n’uko abitavye ico giteramo batari benshi umuntu agereranije n’ibiteramo bisanzwe bibara muri ico kigo. Uwo twaganiriye, yari yitavye ico giteramo we yagize ati : “Nuko abantu bataramumenya”.
Bobona mu giteramo co mu kigo c'urwaruka co mu Kamenge
Ku munsi w’Imana, ku muhingamo, mu kigo c’urwaruka co mu Kamenge, Bobona n’umurwi ABAHIGI bari bitabwe n’abantu benshi. Uri abato,uri abakuze ndetse n’abahumure bakibasha bari bishikiye mu kibanza cabereyemwo ico giteramo. Ku munwa ya bamwe bamwe umuntu yarabona, akanumva ko izo ndirimbo z’urukurikirane “ IKIRANGAMISI ” atari nshasha kuri bose. Igiteramo kigeze hagati, igicu ca rakuvye, akavura karatonyanga, ariko nticabujije ko abitavye ico giteramo baguma muri ico kibanza. Eka Bobona n’umurwi wiwe ntibahagaritse gushikiriza abaraho agakemanyi bari babatekerereye. Kanatsinda, mu vyo umuziki, Bobona yakuriye muri ico kigo c’urwaruka co mu Kamenge.
JPEG - 44.2 ko
Bobona n’umurwi ABAHIGI kuri IFB
Muri ivyo biteramo vyompi, Bobona afadikanije n’umuririmvyikazi yitwa Chance, bararirimvye indirimbo “Gaterantimba”. Iyo ndirimbo izwe cane mu myaka y’1980. Ni indirimbo yakunzwe ico gihe ndetse n’ubu vyaboneka ko igikunzwe cane. Bobona akaba yaramenyesheje ko vuba cane, iyo ndirimbo agiye kuyisubiramwo mu nzu y’ubuhinyanyuzi. Aho akaba yari inyuma yaho amenyeshereje ko uruhusha rwo kuyisubiramwo yaruronse. Bobona akaba yarashimye cane uko ivyo biteramo vyagenze.
JPEG - 109.4 ko
Chance na Bobona bariko baririmba indirimbo"Gaterantimba"
JPEG - 31.1 ko
Willy na Chance

BURUNDI Icuka casubiriye kuba kibi hagati ya Big Fizzo na Lolilo

 




Bigg fizzo na Lolilo bose ni abaririmvyi b’abarundi , abo si ubwa mbere bagiriranira ibibazo kubera indirimbo, umwe yagiriza uwundi ko yamwiganye canke yamutwaye indirimbo ivyo muravyibuka ku ndirimbo yitwa baza Fizzo yaririmbanye n’umuririmvyi wo mu Rwanda Tom Close aho Lolilo yavuga ko Fizzo yiganye indirimbo yiwe.
Ivyo vyateye ukutumvikana hagati yaba babiri hanyuma barabiganira birahera babana amahoro.

JPEG - 22.4 ko
Ubu icuka casubiye kuba kibi kubera indirimbo nshasha ya Lolilo yitwa “uruwambere” yakorewe muri Kisu record n’umuhinyanyuzi A-Tizo Technology iyi ngo ikaba ifise vyinshi ihuriyeko n’indirimbo ya Fizzo yitwa “nakulove” yakorewe muri Buja record studio n’umuhinyanyuzi Lizer Classic.
Iyi ndirimbo ya L olilo yayiririmbanye na Black.G, Lolilo avugako iyi yatanguye kuyikora imbere yuko “nakulove “ ya Fizzo isohoka kuko avuga ko yashatse kuyiririmbana na Fizzo bihinduka gatoyi hanyuma ayiririmbana na Black.G.
JPEG - 9.6 ko
Abandanya avuga ko bihuje umudiho ariko ko bidahuye na gatoyi ngo uretse utujambo two mu ndirimbo ya P- square bahuriyeko.
Naho Fizzo wewe avuga ko ivyo atavyo azi kiretse ko azi ko mu gihe yaza mu Burundi Lolilo yamusavye ko baririmbana indirimbo ariko iyo ngo yashaka ko bayandikira mu ruhinyanyuriro hama Fizzo avuga ko bitoba bisiguritse ngo bazoyitondera.
Iyo uravye neza nuko izi ndirimbo uko ari zibiri mukuzikora bagendeye ku ndirimo ya ba P- square yitwa “shop my money” kubwa Fizzo avuga ko uretse ko umudiho wa zouk udahinduka ariko ko bidasa ikindi avuga ko naho vyoba bisa Lolilo atobigira urwitwazo rwo gukora indirimbo ishaka gusa nkiyo.
Ubu ikigiye gukorwa ni kwegera abahinyanyuzi bakavuga uwuvugisha ukuri muri aba , hama tukazana n’indirimbo mukazumviriza namwe mukavuga uko muvyumva, ivyo tuzobigarukako mu nkuru ikurikira iyi.








UGANDA. Goodlyfe and Iryn Namubiru Entertain Golola Fans




Moze Radio, Weasel and Iryn enterianed guests at Kyadondo Rugby grounds
Last Friday was the day that Golola was beaten and its not clear if he will return to the ring any time soon and if he does, it won't be with any of those guys from Hungary, it will have to be Malik or UPDF's Titus Tugume.
Moze Radio and Weasel were entertaining fans during the game that started very late if that would stress the point of failing to keep time. Iryn Namubiru put up a fairly better show compared to the Goodlyfe boyz though it was all a miming show.
Apparently, some sources say that Golola had actually refused to come to the ring but after long negotiations and pleading, he agreed to come to the ring. In the ring, he was supposed to fight ten rounds but within the second round, signs had started showing that this was not his fight.
In the sixth round, he asked that the game be stopped. This is how Zsamboki Mate won the game but even if he had not stopped the game, it was a clear win for Zsamboki as Golola kept on running as Zsamboki chased and punched.

RWANDA. Byari bishyushye mu gitaramo cya gahunda ya WDA yo guha amahirwe abana bafite impano - AMAFOTO



Ikigo cy’igihugu gishinzwe guteza imbere imyuga n’ubumenyi ngiro(WDA) cyatangije igikorwa cyo kuzenguraka igihugu cyose bashaka abana bafite impano zitandukanye mu muziki bifuza kuzatangirana n’ishuri ry’igisha ibya muzika rigiye gutangirana n’umwaka wa mashuri wa 2014.
Iyi gahunda kandi ikaba irimo igendera hamwe na gahunda yo gukangurira urubyiruko akamaro ka mashuri y’imyuga n’ubumenyi ngiro aho hari itsinda ry’abahanzi b’ibyamamare mu muziki nyarwanda bazakomeza kugenda bataramira abantu banakangurira by’umwihariko urubyiruko kwitabira aya mashuri.
Hari hateraniye imbaga y'abantu benshi cyane
Hari hateraniye imbaga y'abantu benshi cyane
Izi gahunda zikaba zabimburiwe mu karere ka Karongi, Kuri uyu wa Gatandatu tariki ya 09/11/2013 ahitwa i Rubengera mu kibuga cy’umupira w’amaguru gisanzwe kinaberamo ibitaramo by’irushanwa rya PGGSS, ahabereye igitaramo gikomeye cy’itsinda ry’abahanzi barimo Jay Polly, Riderman, Knowless, Tom Close hamwe n’itsinda rya Dream boys.
Dream Boys bashimishije abantu
Dream Boys bashimishije abantu
Aba bahanzi bose uretse kuba mu ndirimbo zabo zikunzwe cyane bashimishje abakunzi babo  bagiye banafata umwanya bagakangurira urubyiruko n’ababyeyi babo akamaro ko kugana no kwiga amashuri y’imyuga n’ubumenyi ngiro.
Tom
Tom Close imbere y’abafana be yagize ati “ Uku mumbona hano ntabwo bigeze bampamagara nka dogiteri ahubwo naje hano nk’umuhanzi kubera ko ari wo mwuga nabashije kwitaho none birantunze rero namwe twaje kubashishikariza kumenya akamaro ko kwiga imyuga.”
Knowless
Knowless we yagize ati “ Njyewe umwuga wanjye ni ubuhanzi kandi birantunze, iyo wize umwuga ukawuha agaciro byanze bikunze witeza imbere ndetse ugafasha na rubanda n’igihugu muri rusange. Umuntu ashobora kwiga gusuka imisatsi no kugosha n’ibindi n’ibindi imyuga ni myinshi kandi hari ishuri rihari kugirango riyigishe neza.”
Riderman nawe yasusurukije abantu anatanga ubutumwa bwo gushyira ingufu mu myuga
Riderman nawe yasusurukije abantu anatanga ubutumwa bwo gushyira ingufu mu myuga
Muri aka karere hakaba hiyandikishije abana bagera kuri 25 biyumvamo impano yo gukora umuziki gusa bika biteganijwe ko hazatoranywamo abagera ku munani bigaragaje cyane nk’uko Might Popo urimo gukurikiranira hafi iki gikorwa ndetse ari nawe uzaba ari umuyobozi mukuru w’iri shuri yabidutangarije.
Igikorwa cyo gutoranya abana bafite impano cyakoranwaga ubushishozi
Igikorwa cyo gutoranya abana bafite impano cyakoranwaga ubushishozi
Ati “ I Karongi abana bagerageje kubyitabira ndetse natunguwe cyane n’ubuhanga bwabo. Gusa duteganya gufata umunani ariko bikazaterwa ni uko mu tundi turere bizaba byagenze bashobora no kwiyongera cyangwa bakagabanuka.”
Jay Pooly yari yishimiwe cyane na benshi
Jay Pooly yari yishimiwe cyane na benshi
Tubibutse iri shuri ry’umuziki rizakira abana basanzwe barize byibura amashuri 9 y’ibanze kuzamura rikazatangira muri Mutarama 2014 i Nyundo mu karere ka Rubavu naho igikorwa cyo gutoranya abana bifuza kuziga muri iri shuri kikazakomeza kuwa Gatandatu utaha mu karere ka Rusizi ndetse n’utundi turere tukazakomeza kugenda tugerwaho n’izi gahunda.
Aha abahanzi baba muri KINA Music baririmbaga Rubanda Remix
Aha abahanzi baba muri KINA Music baririmbaga Rubanda Remix
Abana bagendaga bagerageza amahirwe yabo
Abana bagendaga bagerageza amahirwe yabo 
Anitha niwe wari umushushyarugamba muri ibi birori
Anitha niwe wari umushushyarugamba muri ibi birori
Aha abana bifuza kugaragaza impanozabo ngo bazajye muri iri shuri barimo biyandikisha
Aha abana bifuza kugaragaza impanozabo ngo bazajye muri iri shuri barimo biyandikisha
Abafana

AY KUFANYA SHOW MAALUM YA ROAD TO CHOMVA 2013

AY
Ambwene Yesaya A.Y yupo kwenye category mbili katika Channel O Music video awards mwaka 2013. Category hizo ni Best Gifted Male video ambapo kumpigia kura tuma sms 1D kwenda +278  3142100415, Best Gifted East Video tuma sms 12D kwenda +278  3142100415 au unaweza kwenda www.channelo.com kumpigia kura.

Jumapili ya tarehe 17 mwezi huu  pale club billcanas ungana na A.Y kwenye show maalum ya road to Chomva 2013 akiwa kwenye stage moja na wasanii kama Fid Q, Ommy Dimpoz,God Zillah,Stereo na wengine wengi kwa kiingilio cha Tsh 10,000 tu

INSTAGRAM YAMUUMBUA MWANADADA SHILOLE...! DU! CHEKI HAPA


SHILOLE aliamua kutandika yai kwenye Instagram, ili kuzipa uzito shukrani zake za dhati kwa muongozaji wa video yake ya ‘Nakomaa na Jiji’ itakayotoka Jumamosi hii, Nisher.

Bahati mbaya, yai lake lilivunjika mapema wakati lilipokuwa likiufikisha ujumbe huo na kuwafanya watu waligeuzie mjadala.
Kama tumekuacha kwa lugha hiyo, ni kwamba Shilole aliandika Kiingereza kilichokosewa sarufi aka Broken English.
Shilole aliandika: I did ever think I would do a nice video like this thank you alot to my director @nisherbybee.
Baada ya hapo, haya ndio yaliyosemwa:
[ @ ] nicrac1914 Lugha za majahazi!! Ongea Kiswahili tu utaeleweka vzr
[ @ ] lisammbando Speaking English is not a joke Hahahahah 
[ @ ] clararobinso Me cjaelewa hiyo lugha mpz, kwan ulitaka kuandika nn hapo?
[ @ ] pinnadelicious Jmn mbona mnapenda kumcritisize hvo mwenzenu sa amekosea nn nyie mnaojua, duh dis is too much 
[ @ ] teddybebe Jaman all in all si mmemuelewa.hata mbuyu ulianza kama mchicha kila kitu kinaitaji mazoezi na usione aibu hata wakikucheka mpenz jitahid tu utaelewa. @shilolekiuno 
[ @ ] teddybebe Kumbukeni hata nyie mlitoka huko hata kama mlisoma za kishuaa. Vizur kumsahihisha na sio kumbeza 4h
[ @ ] m_bongo her message sent, delivered, read and understood hicks. By the way english isn't her first language. 
[ @ ] tutupahamidu Did or didnt?!!thank you or thanks to my director?!
[ @ ] raqey_unique Yeah her English is not gud but a bet u all understood wat she meant so stop hating
[ @ ] pinnadelicious Kiswahili every one anajua so mdada wawatu anajitahidi awe internationally so km tumeelewa wat she mean mbona hakuna tatizo, sema bongo tumemeza!!!!
[ @ ] eshyleta bora washushuliwe tu, coz baadae wanaleta nyodo za kiswanglish, et kiswahili hawezi baadhi ya maneno, km huwezi kithungu tumia lugha yako ya taifa
[ @ ] makavlive @shilolekiuno mwisho wa ujuaji ni aibu...ona sasa, ungeandika kiswahili isingekua shida, kutaka ung'eng'ee shule yenye hujaenda...acha kuiga paka la baa wee ongea kinyamwezi unachokijua!
[ @ ] auma_bebe we al knw dat english iz not our mothertongue n tz nxma mnaijua histry yke shilole ss y mnamponda hvyo bdala hta ya kumrekebisha?

SITEGEMEI KUMUOA WEMA DIAMOND



RAIS wa Wasafi Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’, juzikati alifunguka kuwa kwenye maisha yake ya ndoa atakayoingia siku chache zijazo, aliyekuwa mchumba wake wakamwagana na kurejeana hivi karibuni, Wema Sepetu asitegemee kuolewa naye.

Diamond ambaye ni staa wa Bongo Fleva aliyasema hayo mbele ya mwandishi wetu Novemba 7, mwaka huu jijini Dar kufuatia kuulizwa anamchagua nani wa kumuoa kati ya Wema Sepetu na mchumba wake wa sasa, Penniel Mungilwa ‘Penny’.

Swali kwa Diamond liliibuka baada ya kuzagaa kwa tetesi kwenye mitandao ya kijamii kwamba yu mbioni kumvisha pete ya uchumba mmoja wa mademu zake.

Swali hilo lilimfanya Diamond afunguke kwa kusema kwamba anachokijua yeye na ambacho kipo kwenye mikakati yake, mke wake mtarajiwa ni Penny.

“Najua wengi wanahisi mimi ninaweza kuoa mwanamke zaidi ya mmoja kutokana na dini yangu kuruhusu lakini jambo hilo mimi silifikirii hata kidogo kwa kuwa kwenye maisha yangu nilishapanga nitaoa mke mmoja tu,” alisema Diamond.

Akaendelea: “Watu wanasema mengi juu yangu na Wema, wengi wao hawajui nafsi yangu inataka mwanamke yupi, ninachoweza kusema na watu wakasikia na kunielewa basi wajue kwamba Penny ndiye mke wangu, Wema asitegemee kuolewa na mimi.”

Diamond alikwenda mbele zaidi kwa kumwanika Penny kwamba ana sifa ya kuwa mke kwani ni mvumilivu sana na anaonesha upendo wa dhati kwake.

“Kwa maana hii basi hakuna mwanamke mwenye jina kubwa wala sura nzuri zaidi ya Penny ninayeweza kumwita mke wangu. Najua kila mtu ana namna yake ya kuchagua ampendaye, ndiyo maana utaona watu wanasema hili mara lile, lakini hawajui nafsi yangu inataka mwanamke wa aina gani,” alisema Diamond na kuongeza:

Kama kuna demu anayejipa matumaini hayo basi asitegemee hata siku moja kwa sababu kuoa kwangu kutazingatia mke mwema na si bora mke, Penny pekee ndiye mwenye sifa za kuwa mke wangu,” alisema Diamond.

mdodosaji wetu alipompigia simu Penny ili kutaka kupata maoni yake kuhusu tamko la Diamond, simu ya mwanadada huyo  ilikuwa ikiita bila kupokelewa.


Baada ya kumkosa Penny, mwandishi wetu alimtwangia simu Wema, naye kama Penny, simu yake iliita mara kadhaa lakini haikupokelewa

CREDIT

MSANII NYAWANA FUNDIKIRA AFARIKI DUNIA


Marehemu Nyawana Fundikira enzi za uhai wake.
Msanii wa taarab nchini anayejulikana kwa jina la Nyawana Fundikira aliyetamba na wimbo wa 'Nipo Kamili Nimejipanga', amefariki dunia mchana huu kwa ugonjwa wa malaria.
Nyawana amefariki akiwa kwake maeneo ya Mwananyamala B na mwili wake sasa umepelekwa kuhifadhiwa Hospitali ya Mwananyamala, Dar.

Marehemu Nyawana alizaliwa mwaka 1977 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na kupata elimu yake katika shule mbalimbali kuanzia Msingi, Sekondari na elimu ya juu.

Shule ya Msingi Zanaki ndipo alipopata elimu yake mwaka 1983 na kuhitimu mwaka 1989, wakati ile ya Sekondari alisoma Masjid Quba mwaka 1992 na kumalizia Al Haramain.

Baada ya hapo alisomea Uhadhiri kabla ya kumaliza na kusomea masomo ya Uandishi wa Habari na Utangazaji, ambapo pia alishiriki shindano la urembo na kunyakua taji la Miss Tabora, mwaka 1996.

Mbali na sanaa ya uimbaji, pia Nyawana ni mwandishi na mtangazaji, aliyefanya vyema mno, hasa kwa kutangaza vipindi vya taarabu, katika redio kadhaa, ikiwamo ile ya Voice of Tabora.

Baadhi ya nyimbo alizorekodi marehemu ni pamoja na 'Nipo Kamili Nimejipanga' na 'Umesharoga Wangapi', nyimbo ambazo zilitangaza na kuonyesha kipaji chake halisi.

Baadhi ya makundi ya taarab aliyowahi kufanya nayo kazi marehemu ni, Kings Modern Taarab na  Tanzania Moto Modern Taarab, maarufu kama T-Moto.

Mungu ailaze mahali pema peponi! AMEN!

EXCLUSIVE: PAPAA MASAI KUACHIA NGOMA MPYA ( Mapenzi kama upele )



MSANII
anaekuja kwa kasi katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya hapa nchini mwenye asili la kabila la wamasai, Baada ya kutoka kibao chake kikali kabisa alichomshirikisha mwanamuziki nguli Ali kiba Sasa amekuja kivingine..!

WEMA SEPETU WATAZAMAJI WA SHOW YAKO WENGI NI WATANZANIA WA KAWAIDA SANA KINGEREZA CHA NINI

Ilani: Ukitaka kuangalia kipindi cha reality TV cha Wema Sepetu, ‘In My Shoes’ na shule hukwenda, nakushauri ukae na kamusi ya Kiingereza – Kiswahili ili uweze kwenda naye sawa. Hii ni kwasababu, asilimia 50 ya lugha anayoitumia mrembo huyu ni Kiingereza ambayo kwa Watanzania wengi imewapita kushoto.
Nimesikia watu wengi mno wakilalamika kuwa matumizi ya Kiingereza kingi kwenye show yake yamewafanya wasikipende kipindi hicho na kunifanya nihoji, nani walengwa hasa wa kipindi chake? Kwa niaba yao ningependa kulifikisha ombi lao kwa Wema kuwa atumie zaidi Kiswahili katika kuongea ili wengi wamwelewe. Pamoja na kwamba Wema ndivyo alivyo na hata wakati akihojiwa kwenye TV/RADIO ndivyo huongea, ajizuie katika kipindi chake ili kila mtu amfuatilie.

Katika elimu yangu ya uandishi wa habari na utangazaji wa radio/TV nilifundishwa kuwa, wakati wa kuandaa kipindi chochote kile, ni lazima ubainishe, walengwa wa kipindi chako (target audience). Kwa kuangalia umaarufu wa Wema Sepetu, hakuna shaka kuwa walengwa wake wakubwa, ni watu wa kawaida kabisa ambao ndio wanunuaji wakubwa wa magazeti ya udaku yaliyolikuza jina lake nchini na wamekuwa wakimpenda sana.

Kwa namna anavyokiendesha kipindi chake kwa kusimulia matukio yanayooneshwa kwenye kipindi, walengwa ni wale wanaokielewa Kiingereza. Swali ni je, wasomi, raia wa kigeni au watoto wa Masaki, Osterbay na maeneo mengine ya watu wa hali ya juu wanaosoma ama waliosoma kwenye shule za kishua wanakiangalia kipindi hicho? Sio kweli na kama wapo basi ni wachache.

Watu kama hao kwanza hawatumii ving’amuzi vinavyotumika na watu wa hali ya kawaida ambako TV za kibongo zipo. Watu wa maeneo hayo, huangalia DSTV zaidi ambako huko hupenda kuangalia vipindi vya kinyamwezi kama, Keeping Up With the Kardashians, Ice Loves Coco, The Hustle Family ya T.I na Tiny ama The Real Husbands of Hollywood na zingine kibao. TV za kibongo huangaliwa kwa nadra na tena labda wakati wa taarifa ya habari saa 2 usiku, na baada hapo huendelea kuangalia TV za nje.

Kipindi cha Wema Sepetu ambacho huoneshwa na runinga ya EATV, kinaangaliwa zaidi na watu wa kawaida ambao kwa bahati mbaya amekuwa akiwatenga kwa kupenda mno kuongea Kiingereza. Tanzania bado hatujafika huko na hilo Wema anapaswa aliweke kichwani mwake. Asiletee maisha ya Hollywood kwenye kipindi kinachoangaliwa na Mtanzania wa kawaida.

Kama angekuwa hajui kabisa Kiswahili, basi hilo lingeeleweka. Abadilike..

Alhamisi, 7 Novemba 2013

COCERT

  •  May 26
  • Dallas, TX
    The Kenyans 12th Dallas Memorial
  • June 24​
    ​​Afrique-Carib Festival
    Almere, Holland,
    Main Stage : International World Artist Kidum , Shaggy, the Grammy Award Winne​r
  • June 30 - July 10
  • California, Atlanta, Dallas, North Carolina, Seattle,Arkansa, Wahington DC 
August 1st
Edmonton, Alberta, Canada 
August 2
Calgary, Alberta, Canada
 
August 11  & September 29
Toronto, Ontario, Canada
August 18 & September 15
Montreal, Quebec,  Canada
August 25
Ottawa, Ontario, Canada
September 1st
Edmonton, Alberta, Canada
September 2
Calgary, Alberta, Canada
September 21
Sherbrooke
October 06
Quebec City
 
October 07
Winnipeg
 

KIDUM

 
Songs in Kiswahili
Songs in Kirundi
UMENIKOSEA {ENGLISH VERSION TRIAL}
How is it possible
to have two lovers ?
Why break my heart
Am in so much pain and Agony
U have left me with wounds 
That can not be treated
Why my love ?
I trusted you and treasured you
Without caring about anything
I don’t believe from my goodness and kindness 
That you can have shadow lover behind my back
You have wronged me
Look how skinny and thin have become 
Because 
You have put me through so much painand trouble


CHORUS
I have decided never to love again
Every time I love,
I end up getting hurt so much
You have wronged me
You have wronged me….*


VERSE 2
Do you remember when we started,
When we loved each other deeply?
Me and you!
What got into you
To love another
What mistake did I do?
Am going crazy!
I don’t understand why
Coz I loved you
So you never loved me?
I wasted my time
And now am regretting everything
You love somebody else
You just used me
You have broken my heart
Its in pieces
You wronged me
Look how thin I have become
Coz you have put me through
So much pain and agony

 

CHORUS
I have decided never to love again
Every time I love,
I end up getting hurt so much
You have wronged me
You have wronged me….*
AMATA Y’IMFYUFYU

Mwigeme murondo
Gerageza umpe insiguro yakuno kuntu nkukunda
Urukundo rutihisha ruciza inkonda
Rugwaza intandara
Abatavyumva bakanegura
Hari abarusogose inkota ngo rucikane rucika kwicumu ruca rutera intambwe
Mwigeme
Gira inka n’ibibondo
Murondo
Gira ivyutanga nivyo usigarana

Chorus :
uri amata y’imfyufyu
Mucansi c’urukundo
Ntugira agahonzi namba
Uri amata y’imfyufyu
Mucansi c’urukundo ntugira agahonzi namba
Uri icansi ,uri icakunze

Mbwira ukuntu no kwifata
N’ukuntu no kwigenza
Muri kuno kugukunda
Nkubonye mpita mvugishwa
Mpita njugukira
Mpita ncira inkonda
Hari abashatse kudutandukanya
Kudutanya bica bibata kuwamazi
Mwigeme
Gira inka n’ibibondo
Murondo
Gira ivy’utanga nivyo usigarana

Chorus:
Uri amata y’imfyufyu
Mucansi c’urukundo
Ntugira agahonzi namba
Uri amata y’imfyufyu
Mucansi c’urukundo ntugira agahonzi namba
Uri icansi ,uri icakunze

Mwigeme murondo nanyetengerewe n’urukundo rwawe
Twenga ndore ndebe inyinyi
Usa n’amazi ya rusengo

Chorus :
uri amata y’imfyufyu
Mucansi c’urukund
Ntugira agahonzi namba
Uri amata y’imfyufyu
Mucansi c’urukundo ntugira agahonzi namba
  Uri icansi ,uri icakunze

Chameleone Asks Fans

 



Chameleone at his home in Seguku
"Can somebody who knows there facts right help me name out all the hits I've made over the years...all of them..I my self can't even do it.. But why do people always wanna act like they don't see the music?" Chameleone asks.

Just celebrated a decade in music and he's still going strong is Jose Chameleone who did not have to ask such a question. In fact most of those who responded to his question were only urging him to simply do more music than engaging in petty fights.
Before Bebe Cool left for the 1st Ugandan UK Convetion, the two had a scuffle in Club Rouge over Bobi Wine's wedding. Apparently the issue was to whether Bebe would be attending the wedding or not.
As it later turned out, Chameleone attended the wedding mass but not the reception as Bebe Cool was in the UK with Zuena ahead of the Convetion which some say was not well organised.
Bobi Wine is right now on honeymoon as Bebe Cool prepares to celebrate his birthday tomorrow at Cayenne. On the other hand, Jose Chameleone who recently converted to Islam and later went back to his original faith is getting ready for his 'Omukisa Gwo' Album launch on Friday at Hotel Africana. Watch this space!


         Daniella leaving Chameleone's home
Daniella and her two children Abba and Alfa have left Jose Chameleone's home to give him a chance to reconsider his decision of converting to Islam. Daniella's move follows Jose Chameleon's father who even expelled him from the clan over the same issue.

Fr. John Scalabrini who officiated the wedding ceremony of Chameleone and Daniella in Catholic Church in Bbiina wants Chameleone to go to the very church and denounce his new religion.
This follows Chameleone's converting to Islam last Friday. Chameleone is now under pressure over the recent developments. At first he thought he was above 18 and therefore free to make his decisions as he deemed fit, but this has kind of backfired on him.
The pressure was too much for him that he had to call his dad for advise, but instead the his dad told him that the mere fact that he did not consult him the beginning over the matter simply meant that he did not need his advise. Watch this space!

Bobi Wine Speaks Out On The One Love Beach Saga



Bobi Wine
Two people were killed on boxing day a kilometre away from One Love Beach as they were guarding vehicles for those who had turned up for the Busaabala Ye Sebbo fete organised by Bobi Wine.

While addressing journalists, Robert Kyagulanyi aka Bobi Wine said that the two men who were killed were not staff of One Love Beach but were only making money from guarding people's cars.
He has also allocated part of his land so that a police post can be constructed to beef up security for the Busaabala area as a whole. He posted this on his wall;
 "When you are the man of the moment, you will be blamed even for things that happen one kilometer away from your place, haters will try to put you down, they will try to destroy in one day what took you years of sweat and pain, but seek jah guidance for th truth will always be stronger than lies, Happy new year."

MSANII ''DAIMOND PLATNUMZ'' ADAIWA KUTUMIA MBINU YA AINA YAKE KUWATOMASA WANAFUNZI MAZIWA...!!! CHEKI PICHA ZA TUKIO HAPA




Msanii wa bongo fleva, Nasib Abdul 'Diamond' amenaswa live akichezea matiti ya wanafunzi wa shule mbalimbali za jijini Dar...

Kwa mujibu wa mpekuzi wetu, tukio hilo lilijiri wiki iliyopita kwenye maduka ya Mlimani City jijini Dar wakati msanii huyo alipokwenda kufanya manunuzi ya vitu binafsi....

Ilielezwa kuwa,Diamond akiwa Mlimani City,wanafunzi walimvaa na kuanza kuzunguka naye kila sehemu aliyoingia...

Taarifa zinaarifu kuwa, wakati wapambe wake walipojaribu kuwazuia wanafunzi hao, Diamond aliwaambia wawaache maana ni mashabiki wake...

Baadae wanafunzi hao waliokuwa wanatamani japo kushika upindo wa mavazi yake walimwomba japo awasainie kwenye sare zao za shule na hapo ndipo upekuzi huu ulipokamilika...

Badala ya kuwasainia sehemu nyingine ya sare zao,Diamond alikuwa akiwashika vifuani na kusaini sehemu hiyo huku akiwatomasa matiti yao...




BAADA YA KUPATA MTOTO,NDOA YA BOB JUNIOR YAVUNJIKA...



MIEZI michache baada ya kufunga ndoa na kupata mtoto, Prodyuza na Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Raheem Rummy Nanji ‘Bob Junior’ na mkewe Halima Ally wameachana, Amani linakuhabarisha.
Habari kutoka katika chanzo chetu makini ambacho ni rafiki wa karibu na Bob Junior zinasema kwamba, ndoa hiyo ilivunjika muda mrefu lakini wahusika walikuwa wakifanya siri lakini Amani limeinasa.


BOB JUNIOR TATIZO
Kwa mujibu wa jamaa huyo ambaye hakutaka kuandikwa gazetini, alisema chanzo cha kuparaganyika kwa ndoa hiyo ni Bob Junior mwenyewe kutokana na kutuhumiwa na mkewe kumsaliti.
“Mke wake alikuwa anamtuhumu Bob kutoka kimapenzi na mwanamke mmoja wa Kikenya na pia inasemekana anatembea na Vanessa Mdee (mwanamuziki). Maneno yalivyokuwa mengi, mkewe akaamua kuondoka, hivi ninavyoongea na wewe, yupo kwao,” alisema.

 
Siku walipopata mtoto.
BOB JUNIOR AKIRI
Mashitaka yote yalifikishwa kwa Bob Junior kama yalivyo ambapo bila kumung’unya maneno, msanii huyo mwenye mauno sana awapo jukwaani alikubali kutengana na mkewe lakini akachomoa suala la Mkenya na
Vanessa.
“Ni kweli nimeachana na mke wangu kama mwezi mmoja uliopita na ameondoka na mtoto, hayo maneno kwamba nina mwanamke wa Kikenya siyo ya kweli. Vanessa ni msanii mwenzangu, nafanya naye kazi tu, hakuna cha zaidi,” alisema.

YUKO NA NANI SASA?
Alipoulizwa kama ameshafungua ukurasa mwingine wa kimapenzi alisema: “Nimeshasema nimeachana na mke wangu, kwa sasa niko singo, sina mpenzi wala mchumba, niko singo tu.”
Bob Junior alipoulizwa kama atarudiana na mkewe alisema hana uhakika ila kama Mungu ndiye aliyepanga watarudiana lakini kama siyo hawatarudiana.

VANESSA NAYE
Vanessa alipopatikana kwa njia simu na kuelezwa kila kitu, alisema: “Siwezi kuzungumzia suala hilo maana kila jambo huwa lina mipaka